Matatizo ya kitovu

KAPIME U.T.I IMESHAKUWA SUGU KATIKA MWILI WAKO ITABIDI UCHOMWE SINDANO 5 KUPONA KABISAA
 
habari zenu jamani..
Mwenzenu muda si mrefu nimepatwa hali ya kuumwa tumbo maeneo ya kitovu,
kama vile kitovu kinavuta kwa ndani
halafu nakua kama kuna kisu kinanichana tumboni,
au kitu cha ncha kali kinanikwangua
Baada ya hapo najiskia mwili mchovu

na mikono na miguu imekua kama nmebondwa bondwa
kichwa kimekua kizito..

hata sielewi nna tatizo gani....?
kwa anaejua jamani
kapime choo utakuta una minyoo....umetumia Dawa za minyoo Mara ya mwisho lini ?Mi ilishawahi kunikuta hiyo hali kupima minyoo kibao
 
Fanya control urinalysisi/mkojo.

Halafu ucheki na choo kwa amoeba/minyoo

Kwa U.T.I jitahd unywe maji mengi 6-8 glasses per day

Wipe from front to back/kutawaza anzia mbele kwenda nyuma

Usafi wa vyoo epukana na vyoo vya public ambavyo sio safi

Epuka kutumia sabuni zenye chemical kujisafisha maeneo nyeti.

Ukifua mavazi ya ndani anika nje.
 
Fanya control urinalysisi/mkojo.

Halafu ucheki na choo kwa amoeba/minyoo

Kwa U.T.I jitahd unywe maji mengi 6-8 glasses per day

Wipe from front to back/kutawaza anzia mbele kwenda nyuma

Usafi wa vyoo epukana na vyoo vya public ambavyo sio safi

Epuka kutumia sabuni zenye chemical kujisafisha maeneo nyeti.

Ukifua mavazi ya ndani anika nje.
asante kwa ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom