princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,553
- 14,381
..
Kugegedwa ndo nn vileeumetoka kugegedwa?
kupigwa paipKugegedwa ndo nn vilee
hapana nna miezi ssaumetoka kugegedwa?
nmetoka kuchoma nna week3KAPIME U.T.I IMESHAKUWA SUGU KATIKA MWILI WAKO ITABIDI UCHOMWE SINDANO 5 KUPONA KABISAA
pole, hilo swala la kuuma kitovu wanawake linawapata wakitoka faragha nikajua na kwako ni hivyo.hapana nna miezi ssa
kapime choo utakuta una minyoo....umetumia Dawa za minyoo Mara ya mwisho lini ?Mi ilishawahi kunikuta hiyo hali kupima minyoo kibaohabari zenu jamani..
Mwenzenu muda si mrefu nimepatwa hali ya kuumwa tumbo maeneo ya kitovu,
kama vile kitovu kinavuta kwa ndani
halafu nakua kama kuna kisu kinanichana tumboni,
au kitu cha ncha kali kinanikwangua
Baada ya hapo najiskia mwili mchovu
na mikono na miguu imekua kama nmebondwa bondwa
kichwa kimekua kizito..
hata sielewi nna tatizo gani....?
kwa anaejua jamani
umemaliza sindano zote?nmetoka kuchoma nna week3
umemaliza sindano zote?nmetoka kuchoma nna week3
ndio na cipro 14 flucan 14umemaliza sindano zote?
na tatzo still bado lipo vilevile?ndio na cipro 14 flucan 14
asante kwa ushauriFanya control urinalysisi/mkojo.
Halafu ucheki na choo kwa amoeba/minyoo
Kwa U.T.I jitahd unywe maji mengi 6-8 glasses per day
Wipe from front to back/kutawaza anzia mbele kwenda nyuma
Usafi wa vyoo epukana na vyoo vya public ambavyo sio safi
Epuka kutumia sabuni zenye chemical kujisafisha maeneo nyeti.
Ukifua mavazi ya ndani anika nje.