NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Matatizo ya shirika la reli wasafiri kila mara wanalala Station hadi lini
Check hii
Mmoja wa abiria waliokwama katika Stesheni ya Dar es Salaam, Bw. Shadrack Mwami akijibizana na Kamanda wa Kikosi cha Polisi Reli, Kamishna Msaidizi Ruth Makelemo wakati abiria hao walipomlalamikia kuhusu Shirika la Reli Tanzania (TRL) kushindwa kuwasafirisha kwa takribani siku tatu sasa. Bw. Makelemo alikuwa akisubiri treni ya kwenda Kigoma
Check hii
Mmoja wa abiria waliokwama katika Stesheni ya Dar es Salaam, Bw. Shadrack Mwami akijibizana na Kamanda wa Kikosi cha Polisi Reli, Kamishna Msaidizi Ruth Makelemo wakati abiria hao walipomlalamikia kuhusu Shirika la Reli Tanzania (TRL) kushindwa kuwasafirisha kwa takribani siku tatu sasa. Bw. Makelemo alikuwa akisubiri treni ya kwenda Kigoma