Kundasenyi
Member
- Apr 11, 2011
- 58
- 2
Bilashaka leo upo happy, pole kama hauna furaha.. Wakuu mimi natumia samsung sgh u900 ina matatizo mawili makubwa 1) mtu akinipigia simu nikaikata bila kuipokea simu inakata alafu inaniandikia AUTO REPLAY MESSAGE SENT alafu hiyo message inaenda kwa huyo aliekuwa ananipigia, nimewapigia voda wakaniambia niende kwenye mobile traker na niingize namba moja mpaka tano, nimefanya hivyo ila nikiingiza inaniambia incorrect password.. Jf naomben msaada katika hili 2) tatizo lingine ni kwenye uwanja wa message, nikiingia kwenye create message inaniletea message na email basi... hamna mms, push message wala broadcast message, ambazo nikienda kwenye messege setting nazikuta.. hivyo zaidi ya message na email siwezi kutumia mms wala hizo zingine... Hayo ndio matatizo yangu makuu kwenye simu yangu nakosaraha kwa mimi ni mpenzi sana wa kutumia mms.. Wataalam wa jf tafadhali naombeni msaada wenu please!!!