Pole sana kwa hayo matatizo yako kam huyo mke wako ana jini wasiliana n mimi ninaweza kukusaidia ila kwa malipo nitumie Baruwa ya pepe Email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.commimi nikijana wa kiume nimeoa hivi karibuni, lakini kabla ya kuoa nilikuwa naweza kufanya mapenzi vizuri (mwanamke hakuwa bikra) hadi mara tisa kwa masaa 24 lakini huwa nafika miezi (huwa sina tabia ya kusex kwa kipindi kifupi) ila tangu nioe nimeshindwa kufanya tendo la ndoa ume husima lakini nikisogea kwenye " K" huwa napoteza hamu yote mpaka huwa najiuliza nimekusudia kufanya nini (huyu mwanamke ni bikra) kwa io huwa ananihangaisha sana kitandani labda huwa ndio sababu ya kupoteza hamu, na jengine huyu mwanamke anajini huwa kila nnavyo jitahidi huwa kazi kubwa lakini hamna mafanikio ya kuingiza uume ktk "K".
tumeenda kuombewa dua lakini bado tatizo halija tatuka
kwa io naomba ushauri nifanye nini,
please usicomment kihuni
Utingo asikudanganye mtu hakuna dini inayosema kwamba kuna jini mzuri na jini mbaya huo ni mtazamo wa kibinadamu, Uislamu unaamini kwamba majini ni viumbe waliumbwa na Mungu kwa moto tena wako kwa ajili ya kumwabudu Mungu na wala hawatakiwa kuabudiwa... wape wengine elimu hii.dua si kwa ajili ya kutoa pepo bali ni kwa ajili ya kutaka baraka zaidi. Unahitaji kuombewa ili kutoa hilo jini. Lakini kuna dini fulani inadai kuna majini mazuri na mabaya......labda ucheck inawezekano hilo ni jini jema AKA - MUME MWENZAKO if you belong to that religion
Utingo asikudanganye mtu hakuna dini inayosema kwamba kuna jini mzuri na jini mbaya huo ni mtazamo wa kibinadamu, Uislamu unaamini kwamba majini ni viumbe waliumbwa na Mungu kwa moto tena wako kwa ajili ya kumwabudu Mungu na wala hawatakiwa kuabudiwa... wape wengine elimu hii.
mimi nikijana wa kiume nimeoa hivi karibuni, lakini kabla ya kuoa nilikuwa naweza kufanya mapenzi vizuri (mwanamke hakuwa bikra) hadi mara tisa kwa masaa 24 lakini huwa nafika miezi (huwa sina tabia ya kusex kwa kipindi kifupi) ila tangu nioe nimeshindwa kufanya tendo la ndoa ume husima lakini nikisogea kwenye " K" huwa napoteza hamu yote mpaka huwa najiuliza nimekusudia kufanya nini (huyu mwanamke ni bikra) kwa io huwa ananihangaisha sana kitandani labda huwa ndio sababu ya kupoteza hamu, na jengine huyu mwanamke anajini huwa kila nnavyo jitahidi huwa kazi kubwa lakini hamna mafanikio ya kuingiza uume ktk "K".
tumeenda kuombewa dua lakini bado tatizo halija tatuka
kwa io naomba ushauri nifanye nini,
please usicomment kihuni
hakuna uhusiano kati ya majini na dini ya kiislamu, apologizemajini ni kundi la mashetani! Ndo maana ukiangalia sana dini ya kiislamu, jini ni rafiki wao! Wengine wanao ndani wanawaletea hela!
Mkuu mimi nadhani huna tatizo lolote isipokuwa huo ni mtera tu wa kutaka kumridhisha kimwana mbichi (performance anxiey). Nadhani umejiwekea presha wewe mwenyewe ya kumuonyesha huyu mwenzio urijali wako.
Kitu kingine, kama huyu mwenzio ni bikra basi usifanye papara nae. Fanya hivi, mnapokwenda kitandani mwambie mwenzio kuwa leo hutajaribu mumuingilia kimwili bali unataka mzungumze tu. (wanawake wanarespond vizuri sana na mazungumzo). Wakati mnazungumza uwe karibu nae mkiwa na nguo chache (nighty yake na boxer yako) huku ukimshika mwilini taratibu (usiteremke bondeni kwanza). Fanyeni haya mazungumzo kwa takriban saa moja au zaidi.
Kwa sababu utakuwa umejiondolea presha ya kutofanya hilo tendo siku hiyo nafikiri baada ya haya maongezi utamuona bwana kaka wako anarespond. Be very careful na hatua ifuatayo.
Kwa utaratibu sana peleka mkono wako bondeni ukamsalimie dada. Kama yuko tayari utajua tu kwa kiasi cha wetness (huhitaji KY lotion). Endelea taratibu na kama yuko tayari atakuruhusu. Ilani, sio lazima siku ya kwanza uingie kabisa. Mkimaliza, kama ni kutumia mkono wako juu juu au kumtumia kaka, mkumbatia kwa kiasi kirefu na sio kugeukia upande mwengine.
Jipeni muda mzoeane. Zabibu zako hizo kaka, kula taratibu.
Kila la kheri
Ahsante sana kwa mchango wako mzuri kwaku pia na washukuru wana JF kwa michango yao, yamenisaidia sana.Mkuu mimi nadhani huna tatizo lolote isipokuwa huo ni mtera tu wa kutaka kumridhisha kimwana mbichi (performance anxiety). Nadhani umejiwekea presha wewe mwenyewe ya kumuonyesha huyu mwenzio urijali wako.
Kitu kingine, kama huyu mwenzio ni bikra basi usifanye papara nae. Fanya hivi, mnapokwenda kitandani mwambie mwenzio kuwa leo hutajaribu mumuingilia kimwili bali unataka mzungumze tu. (wanawake wanarespond vizuri sana na mazungumzo). Wakati mnazungumza uwe karibu nae mkiwa na nguo chache (nighty yake na boxer yako) huku ukimshika mwilini taratibu (usiteremke bondeni kwanza). Fanyeni haya mazungumzo kwa takriban saa moja au zaidi.
Kwa sababu utakuwa umejiondolea presha ya kutofanya hilo tendo siku hiyo nafikiri baada ya haya maongezi utamuona bwana kaka wako anarespond. Be very careful na hatua ifuatayo.
Kwa utaratibu sana peleka mkono wako bondeni ukamsalimie dada. Kama yuko tayari utajua tu kwa kiasi cha wetness (huhitaji KY lotion). Endelea taratibu na kama yuko tayari atakuruhusu. Ilani, sio lazima siku ya kwanza uingie kabisa. Mkimaliza, kama ni kutumia mkono wako juu juu au kumtumia kaka, mkumbatie kwa kiasi kirefu na sio kugeukia upande mwengine.
Jipeni muda mzoeane. Zabibu zako hizo kaka, kula taratibu.
Kila la kheri
Bangoo hii ni imani potofu.majini ni kundi la mashetani! Ndo maana ukiangalia sana dini ya kiislamu, jini ni rafiki wao! Wengine wanao ndani wanawaletea hela!