Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,264
- Thread starter
- #41
Dearest, ninajitegemea tu vile inabidi na nachukia kuomba....ila kusema ukweli nikapata mtu tu wa kunipa mahitaji yangu na kunisomeshea vile vitoto vyangu, kazi kubwa itakuwa usafi,upishi na kwenda gym....sipendi shida kabisaa na kuchoka choka!!
Hahahah. . . raha muhimu dearest, hamna anaependa shida. Ila siku yakitokea ya kutokea siutasimama umsaidie mwenzio?