ndo maana kwenu mkipika nyama, mnakula kwa atendesi afu nyama mnarushiwa kwa manani na baba enu.
we ni noma...
inaelekea ndo zilikua zako kwa sana...
kwa ujanja wako ninaouona hapa...duh
kongosho usiniambi ndo wamekukuna hapo maana naona spid yako kali.ndo maana kwenu mkipika nyama, mnakula kwa atendesi afu nyama mnarushiwa kwa manani na baba enu.