It's Funny...Even your mom?
eeeh! Tupe heshima yake mkuu!!hakuna tangazo silipendi kama la mpesa, sijui anakuja mtu anapaa aka supaman ananyakua. Mmh yaani wameidharaulisha maana halisi ya mpesa.
Ninaye sana
Kongosho huyu Mwita amekosa heshima sana kumfananisha mama yake, bibi na dada zake kuwa sawa na kuku.
tangazo la magodoro ya comfy...