tangazo jipya la zain kuwaita wateja wa kigari kidogowahamie kwenye gari kubwa lao yani wateja watoke tigo waende zain,sasa wajipange vizuri kwa kuwa wameshachelewa...
mbona Vodacom wameamua kubadili rangi yao kutoka blue kwenda nyekundu kuwaigiliza airtel ina maana wameona hatari iliyopo mbele yake
Hilo tangazo limenichekesha sana sana kwa kweli
Kaka voda hawajaiga airtel the fact is vodacom South Africa ambao ndo walikuwa wanamiliki hisa nyingi imenunuliwa na vodaphone Uk na ndo maana wamebadili rangi kuwa nyekundu kama ya vodaphone Uk na walitaka kubadili mpaka jina waitwe vodaphone Tz But wamebaki na Vodacom Tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.