Badu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2012
- 407
- 106
kutongoza wanawake au wanaume?
Wanawake
kutongoza wanawake au wanaume?
"Dawa ya mba, mende, kunguni, vipele, mapunye, dawa ya mba, fangasi, vipele, mapunye" natumai wengi mshalisikia hili tangazo. Sasa juzi kati nimekutana na h ii mpya. Dawa ya kuongeza hamu ya kuoga inaitwa "Ogasis" hii inaongeza hamu ya kuoga kwa wale wavivu wa kuoga.
Erickb52, Junior. Cux, Kingmairo, Mphamvu na Nyani Ngabu
mmmm! Tena umenikumbusha, hivi charminglady kwani yale mapunye yako ya kwenye makalio na fangas za ikulu ulishapona?.....maana nakumbuka hicho kilikua kikwazo kwangu nikakupiga chini nikajichukulia honey Madame B ,ulikua unatisha sana
"Dawa ya mba, mende, kunguni, vipele, mapunye, dawa ya mba, fangasi, vipele, mapunye" natumai wengi mshalisikia hili tangazo. Sasa juzi kati nimekutana na h ii mpya. Dawa ya kuongeza hamu ya kuoga inaitwa "Ogasis" hii inaongeza hamu ya kuoga kwa wale wavivu wa kuoga.
Erickb52, Junior. Cux, Kingmairo, Mphamvu na Nyani Ngabu, Saint Ivuga, TANMO, Boflo, hii dawa itawafaa sana make ninyi tangu mmeoga wakati mnaenda Meimosi mkidhani mtachaguliwa kuwa wafanyakz bora mkachemka. sasa mwasubiri sabasaba!
Khaa! na mie umeniweka humu kwenye hii list ya kutooga wakati jana umenilamba 80% ya mwili usiku mzima! ina naama umeridhia ile kauli ya mapenzi ni ufachu sio?
in game there are winners and loosers ..cute wangu yuko wapi jamaniwewe hapo,kha me mambo ya ukewenza yalinishnda. saiv niko kwenye mchakato wa kufunga pingu za polis na platozoom
Saint Ivugau get me worry not ila sijui ATM yako inasoma ngapi mana sitaki kuteseka miein game there are winners and loosers ..cute wangu yuko wapi jamani
kumbe na we uliyaona.. mtoto kule ana ngozi ya chura.!!!
"Dawa ya mba, mende, kunguni, vipele, mapunye, dawa ya mba, fangasi, vipele, mapunye" natumai wengi mshalisikia hili tangazo. Sasa juzi kati nimekutana na h ii mpya. Dawa ya kuongeza hamu ya kuoga inaitwa "Ogasis" hii inaongeza hamu ya kuoga kwa wale wavivu wa kuoga.
Erickb52, Junior. Cux, Kingmairo, Mphamvu na Nyani Ngabu, Saint Ivuga, TANMO, Boflo, hii dawa itawafaa sana make ninyi tangu mmeoga wakati mnaenda Meimosi mkidhani mtachaguliwa kuwa wafanyakz bora mkachemka. sasa mwasubiri sabasaba!
aisifuye mvua, imemnyea..... i hope umeitumia na umeona result zake...hongera
me nlitumia ya mende na kunguni!