NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Kuna haya matangazo ya Bwana Fataki yanaelekea yanadhalilisha kuna lingine linasema unaweza kumnunulia kabinti chips na soda kazi kwisha na lile lingine fataki anaambiwa akimnunulia gagulo la mtumba ni tosha kumpata mtoto yaelekea Fataki ni baab kubwa kwenye masuala ya mahusiano au nyie mwaonaje?