babykailama
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 251
- 243
Kupitia Television nimeona,:cool2:
1. Kazi nzuri ya walioandaa Majaji, Mc's makini, ukumbi uliopambwa vyema na zawadi zinazofaa.
2. Kwa ujumla, hotuba nzuri ya Mgeni rasmi, Mh. J. Kikwete, Rais wa JMT, imegusa maeneo nyeti juu ya Tasnia ya habari.
3. Maelezo Rais katika hotuba, yanayohusu barabara ipitayo hifadhini na ujenzi Airport Mugumu katika hotuba hayajitoshelezi. Hakika Rais angekuwa ame adress hayo siku nyingi waziwazi katika jukwaa lingine na si kusubiri katika TUZO kwa Wana-habari. Kusifu Mzee wa Kikombe wakati kuna maumivu makubwa yaliyowapata Wananchi kuhusu utapeli huo si sahihi. Aidha ameweza kufanya tufikiri kuwa kumbe sababu za vyombo vya Umma na Wizara ya Afya kuanza kushabikia (kutoa support) ya miundo mbinu katika huduma ya huyo Babu haraka haraka bila upembuzi wa Kisayansi ilikuwa kumbe ilikuwa ni issue ya ku-draw attention juu ya barabara ipitayo hifadhini!!
4. Maandalizi hafifu ya utaratibu wa utoaji tuzo jukwaani (mara anayeitwa si aliyepo pale, mara anayetakiwa kutoa zawadi hajafika na zaidi ya yote, niliwahurumia wale nominees wengine ambao hawakupata tuzo kuachwa wanateremka toka jukwaani kama hawakufanya kazi yoyote ya maana. Kama huna cha kuwapa (runners) usiwapeleke jukwaani period!
Otherwise, ni tukio la kuigwa katika Taaluma / Tasnia nyinginezo pia .
1. Kazi nzuri ya walioandaa Majaji, Mc's makini, ukumbi uliopambwa vyema na zawadi zinazofaa.
2. Kwa ujumla, hotuba nzuri ya Mgeni rasmi, Mh. J. Kikwete, Rais wa JMT, imegusa maeneo nyeti juu ya Tasnia ya habari.
3. Maelezo Rais katika hotuba, yanayohusu barabara ipitayo hifadhini na ujenzi Airport Mugumu katika hotuba hayajitoshelezi. Hakika Rais angekuwa ame adress hayo siku nyingi waziwazi katika jukwaa lingine na si kusubiri katika TUZO kwa Wana-habari. Kusifu Mzee wa Kikombe wakati kuna maumivu makubwa yaliyowapata Wananchi kuhusu utapeli huo si sahihi. Aidha ameweza kufanya tufikiri kuwa kumbe sababu za vyombo vya Umma na Wizara ya Afya kuanza kushabikia (kutoa support) ya miundo mbinu katika huduma ya huyo Babu haraka haraka bila upembuzi wa Kisayansi ilikuwa kumbe ilikuwa ni issue ya ku-draw attention juu ya barabara ipitayo hifadhini!!
4. Maandalizi hafifu ya utaratibu wa utoaji tuzo jukwaani (mara anayeitwa si aliyepo pale, mara anayetakiwa kutoa zawadi hajafika na zaidi ya yote, niliwahurumia wale nominees wengine ambao hawakupata tuzo kuachwa wanateremka toka jukwaani kama hawakufanya kazi yoyote ya maana. Kama huna cha kuwapa (runners) usiwapeleke jukwaani period!
Otherwise, ni tukio la kuigwa katika Taaluma / Tasnia nyinginezo pia .