zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Nyerere alitupa elimu ya bure. Wa Morogoro alipelekwa kusoma Moshi wa Moshi Mtwara na kadhalika. Yote hii kwa kodi zetu. Sishangai uchumi uliyumba lakini kazi ya kuondoa udini na ukabila ilifanikiwa. Acheni udini na ukabila.
Alitowa fedha mfukoni mwake? hiyo elimu ya bure imelisaidia nini Taifa mpaka leo zaidi ya kuliingiza kwenye lindi la umaskini.