ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,649
Jamaa alikorofishana na mkewe na mke akaamua aende akakae
kwa ndugu yake kwa muda wa zaidi ya
mwezi mmoja. Baada ya kusuluhishwa na ndugu, tofauti
miongoni mwao ikaondolewa na wakakubaliana kurudi kukaa pamoja.
Ila wameelekezwa 'wasikaribiane' hadi hapo watakapoenda
huko kwao kutambika ndipo mke arudi kwa mumewe na
kuendelea na maisha yao kama kawaida. Kwa sasa jamaa wako
kwenye maandalizi ya kwenda 'huko kwao' kufanya tambiko la mapenzi yao.
Hiki kisa ni cha kweli na kimemtokea rafiki yangu mkubwa sana
(kabila lake silitaji ng'oooooo nachelea kubadili hali ya hewa humu MMU).
My take: Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Farao; Kumbe kina Profesa Maji Marefu wako wengi
sema tu wengine wana-operate kwa kificho.
kwa ndugu yake kwa muda wa zaidi ya
mwezi mmoja. Baada ya kusuluhishwa na ndugu, tofauti
miongoni mwao ikaondolewa na wakakubaliana kurudi kukaa pamoja.
Ila wameelekezwa 'wasikaribiane' hadi hapo watakapoenda
huko kwao kutambika ndipo mke arudi kwa mumewe na
kuendelea na maisha yao kama kawaida. Kwa sasa jamaa wako
kwenye maandalizi ya kwenda 'huko kwao' kufanya tambiko la mapenzi yao.
Hiki kisa ni cha kweli na kimemtokea rafiki yangu mkubwa sana
(kabila lake silitaji ng'oooooo nachelea kubadili hali ya hewa humu MMU).
My take: Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Farao; Kumbe kina Profesa Maji Marefu wako wengi
sema tu wengine wana-operate kwa kificho.