Matajiri wa Tanzania hawa hapa!!!

WA MAANA NI MENGI TU WENGINE WANATIA VINYAAAAAAAAAAAAAA.....WANAJALI MATUMBO YAO TU.....

Reg Mengi ni MWENYE BUSARA NA MPENDA MASKINI.....
 
1. venavinsk 2. Wiliam Gates 3. Shawn Cater..... etc. wapo tu wametulia
 
Hakuna tajiri anayepata hela zake kihalali.Nikutonye,ubabaishaji duniani na hatimaye kuishia kwenye utajiri ulianzishwa na watu kama DuPont,Rockefeller,Rostchild na bankers wakubwa unaowajua na wengine wengi.Wall street ni genge la matapeli wanaopata pesa out of nothing,mere speculation.Federal Reserve na Bank of Englang ni institutions za matapeli, getting money out of nothing.Ni wezi wa mchana kweupe.The list is long.
[h=2]Haya majina nimeyapa kwenye mtandao kuwa ni top 20 ya matajiri wa Tanzania. Je mali zao wamepata kihalali?

1. Said Bhakhresa 2. Mohamed Dewji 3. Yusuph Manji 4. Reginand Mengi 5. Mh. Mkono 6. Mwanamboka 7. J. Patel 8. Mh. Chenge 9. Mh. Lowasa 10. Mh. M. Shabiy[/h]




 
Nina hofu na huo mtandao uliko pata haya majina isije ikawa ndo njia ya kuchafuana ?

Near by Isanga Mbeya
 
Ninahofu na mtandao ulio chukua haya majina isije ikawa ndo njia ya kuchafuana ?

Near by Isanga Mbeya
 
Mbona kila kitu unatazama kiudini tu?japo unaongea point'faham kuwa wengne tunakereka sana na hii style ya kutazama mtu kwa dini'kwa sbb tz yetu tumesoma na tumekuwa pamoja bila kujali dini zetu'na mpaka sasa wengi wetu tuna marafiki ndugu majirani wadini zote'badilika hii nchi sio ya kidini na wala haiwezi kuwa ya kidini hata siku 1


Mkuu Ngongoseke, HUTE hajaongelea UDINI kiuhalisia, kwa upande mwingine anajaribu kuwakumbushia waislamu kua iyo list ingekua na wakristo wengi basi kungekua na lawama na manung'uniko si kawaida. Point ni kwamba, pamoja na waislam kusema kuwa wanaonewa katika sekta mbalimbali za maendeleo (eg. Elimu, kumiliki mali, madaraka n.k), kumbe wao wenyewe hawasaidiani ili kuinuana, wengi wao wana ubinafsi na kupenda sifa kwa walivonavyo badala ya kusaidiana. Mfano ni hao matajiri wachache kwa hiyo list. Kaaaazi kweli kweli :biggrin:
 
Kuna sonil somaiya wa KIBOKO,mikocheni yote yake,MENGI cha mtoto hata 20 bora hayupo
 
Yaani Mama wa Nyumbani Fida Hussein (mkewe rais mwinyi) ni tajiri kuliko Mengi, Rostam, Manji, Lowassa, Patel, Dewji, na ni mke tu wa Ali Hassan Mwinyi tena hajawi kufanya kazi (labda zile Kokeni zilizotaka kumtoa roho mrema) halafu tunawatafuta mafisadi wengine wapya? Mwinyi majengo anayajenga kwa chenji ipi? Loliondo? Jamani Wazanzibari hawahui kuiba, wao wanajichulia na ni mwiko kumzuia au kumkosoa

Mkuu, hapo umtuchanganya, binafsi zijakusoma labda ubongo wangu mdogo
 
Hapa sina comment! kama zaidi ya 50% ya watanzania wanaishi maisha chini ya dola moja, wastani wa ukwasi wa raia ni "UMASKINI" tu! tuzungumzie namna ya kutokomeza umaskini kuliko kuhesabu matajiri ambao hawana mchango wowote kwa maskini wa tanzania zaidi ya kuendelea kuwaibia kupitia misamaha ya kodi, rushwa kwa viongozi wabovu na kusaini mikataba ya hovyo na serikali yetu!
 
Wote wezi hao!!! Ila nawapa big up Bakharesa na mengi kwa kutoa ajira za kutosha sana!!!
 
Hakuna tajiri anayepata hela zake kihalali.Nikutonye,ubabaishaji duniani na hatimaye kuishia kwenye utajiri ulianzishwa na watu kama DuPont,Rockefeller,Rostchild na bankers wakubwa unaowajua na wengine wengi.Wall street ni genge la matapeli wanaopata pesa out of nothing,mere speculation.Federal Reserve na Bank of Englang ni institutions za matapeli, getting money out of nothing.Ni wezi wa mchana kweupe.The list is long.
Rothschild family (German Jewish origin) ni dynasty ambayo haitawahi kutokea.
Mayer Amschel Rothschild had a vision and put it into reality....mind you hiyo tunaongelea miaka ya 1744s na familia imeweza kusimama mpaka leo. Utajiri wetu mwingi hapa Bongo and even most of Africans countries haufiki hata 3rd or 4th generations. Bado hamna matajiri hapa Bongo. Hawa jamaa wanaweza tu kubadilisha mboga na kuvaa suti.
 
ktk jarida moja maarufu la kiuchumu liliuliza kwa tz matajiri wengi mbona sio highest tax payer???? inakuaje usemekane wew ni tajiri sana lakini wewe pamoja na biashara zako zinaonekana zinalipa kodi ndogo isiyoendana na huo utajiri unaozungumziwa au ndo tukumbuke maneno ya mwalimu nyerere kigezo kikubwa cha kupima serikali yenye rushwa ni jinsi inavyokimbizna na wafanyabiashara ndogondogo barabarani kuwadai kodi badala ya large established companies and enterprises????
 
Back
Top Bottom