Kuna tetesi kuwa Katibu Mkuu Mpya wa Wizara ya Nishati na Madini ana mkakati mkubwa wa kubadili utendaji wa wizara hiyo na kuifanya kuwa na ufanisi mkubwa kwa kuifanya Wizara kuwajibika ipasavyo. Tetesi za ndani ya wizara zinasema kuwa jamaa amesema kuwa hatawavumilia wazembe. Je ataweza mwenye CV yake atujuze.