Maswali yanayonitatiza! Naomba msaada wenu!!

Pape

JF-Expert Member
Dec 11, 2008
5,488
79
1. How can animals find their way back home?
2. What if animals could plan, reflect and cheat?
3. Do animals lie or feel guilty?
4. Are there other species in mamals/animals practising same sex relationship (Gays/lesbian).i.e Je kuna wanyama wengine zzaidi ya binadamu ambao ni mashoga na wasagaji(added by mtazamaji)
 
1. How can animals find their way back home?
2. What if animals could plan, reflect and cheat?
3. Do animals lie or feel guilty?

Naomba niongezee swali ambalo nimekuwa najiuliza siku nyingi

4. Are there other species in mamals/animals practising same sex relationship( Gays/lesbian).i.e Je kuna wanyama wengine zzaidi ya binadamu ambao ni mashoga na wasagaji
 
Naomba niongezee swali ambalo nimekuwa najiuliza siku nyingi

4. Are there other species in mamals/animals practising same sex relationship( Gays/lesbian).i.e Je kuna wanyama wengine zzaidi ya binadamu ambao ni mashoga na wasagaji
hii kiboko! lol:A S-eek:
 
Hayo maswali sidhali kama kuna mtu anaweza kuyajibu, labda hilo la mwisho.

Inabidi uwe ushawahi kuwa "mnyama" ndio utaweza kujibu.

Hata wanyama wana maswali mengi sana juu ya binadamu, ila hawana majibu sababu hawajawahi kuwa binadamu, and never will they understand how it feels to be a human being.
 
1. How can animals find their way back home?
2. What if animals could plan, reflect and cheat?
3. Do animals lie or feel guilty?
4. Are there other species in mamals/animals practising same sex relationship (Gays/lesbian).i.e Je kuna wanyama wengine zzaidi ya binadamu ambao ni mashoga na wasagaji(added by mtazamaji)
Wanyama wanatumia zaidi milango ya fahamu katika kuishi kwao, na hasa mnuso (smell). Ukimchukua kwa mfano mbwa ukaenda naye kwa miguu hata km. 20, halafu ukamtoroka, mbwa yule atarudi nyumbani. Atatumia zaidi harufu - atapita sehemu zile mlizopita mpaka atafika nyumbani.
Wanyama hawaplani kama mwanadamu katika maisha yao lakini wana kitu kinaitwa silika (instinct). Hii inawasaidia kuitikia hali mbalimbali wanazokumbana nazo. Kumbe hawawezi kupanga mipango ya baadaye (yaaani ya kuja kutekeleza kwa mfano kesho) - kama afanyavyo binadamu kwani hawana akili na utashi. Kutafakari pia hawawezi. Ila kuna aina fulani ya kumbukumbu (inayojificha katika milango ya fahamu ya wanyama) ambayo kwa mazingira fulani inaweza kumfanya ku-react kwa namna inayotegemewa. kwa mfano, mbwa ukimpiga, anabaki na identity ya ubaya (uadui) wako kwa njia ya harufu yako. Kumbe akikuona siku nyingine, ile harufu ya wewe akishainusa mara moja anahisi kwamba wewe ndo yule uliyempiga au kumtendea ubaya. Na mara ata-react negatively dhidi yako au kwa kubweka, au kukushambulia.
Wanyama wanaweza ku-lie instinctively siyo rationally. Mfano, mdudu aitwaye kifa-uongo au hata kobe. Kifa-uongo ukimgusa anakauka kabisa kana kwamba amekufa (anadanyanya - mzima sana tu). Hii ndo namna yake ya kujilinda. Lakini hafanyi hivyo kwa kutumia akili, bali silika. Vivyo hivyo kobe, ukimshambulia anaficha kichwa kwenye gamba na kukauka kana kwamba ni mfu kumbe anajihami.
Nadharia ya ku-cheat ina presuppose uwepo wa ujuzi, utashi na uamuzi. Mnyama hawezi ku-che
 
From my experience there are animals which feel guilty! A dog is an example. Nitawapa kisa changu kimoja:
Nikiwa mdogo around 6 years old, tulikuwa na mbwa nyumbani. Huyu mbwa alikuwa ni rafiki yangu sana, nilikuwa naenda naye kuchunga na kokote nitakakoenda, akishaona sina kampani lazima anifuate. Sasa one day nilikuwa nacheza naye, nikawa namziba midomo. Akawa anashindwa kupumua, basi akiona nafanya hivyo alikuwa anaondoka pale nilipo. Mimi nikawa namfuata, nakwenda kumziba tena kwa kuwa nilikuwa nafurahia anavyohangaika. Baada ya uvumilivu kumshinda alining'ata kwenye mkono. Basi nikaanza kulia.
Huwa ninakumbuka yule mbwa alivyokuwa anahangaika kunibembeleza na hata kujaribu kuparua mkono alioniuma, huku akilalamika. Ujue nilianza kumwonea huruma japo amening'ata. Kufika home yule mbwa akawa anawaogopa wazee, akajua watampiga, kwahiyo akawa anakaa mbali kabisa. Nikitoka tu ndani, ananifuata anaanza tena kuninung'unikia. Hadi leo huwa naikumbuka ile hali. Mbwa anafeel gulty sana pengine kumshinda binadamu.
 
Asanteni wakuu kwa hizi nondo; ni nzito sana!
Wanyama wanatumia zaidi milango ya fahamu katika kuishi kwao, na hasa mnuso (smell). Ukimchukua kwa mfano mbwa ukaenda naye kwa miguu hata km. 20, halafu ukamtoroka, mbwa yule atarudi nyumbani. Atatumia zaidi harufu - atapita sehemu zile mlizopita mpaka atafika nyumbani.
Wanyama hawaplani kama mwanadamu katika maisha yao lakini wana kitu kinaitwa silika (instinct). Hii inawasaidia kuitikia hali mbalimbali wanazokumbana nazo. Kumbe hawawezi kupanga mipango ya baadaye (yaaani ya kuja kutekeleza kwa mfano kesho) - kama afanyavyo binadamu kwani hawana akili na utashi. Kutafakari pia hawawezi. Ila kuna aina fulani ya kumbukumbu (inayojificha katika milango ya fahamu ya wanyama) ambayo kwa mazingira fulani inaweza kumfanya ku-react kwa namna inayotegemewa. kwa mfano, mbwa ukimpiga, anabaki na identity ya ubaya (uadui) wako kwa njia ya harufu yako. Kumbe akikuona siku nyingine, ile harufu ya wewe akishainusa mara moja anahisi kwamba wewe ndo yule uliyempiga au kumtendea ubaya. Na mara ata-react negatively dhidi yako au kwa kubweka, au kukushambulia.
Wanyama wanaweza ku-lie instinctively siyo rationally. Mfano, mdudu aitwaye kifa-uongo au hata kobe. Kifa-uongo ukimgusa anakauka kabisa kana kwamba amekufa (anadanyanya - mzima sana tu). Hii ndo namna yake ya kujilinda. Lakini hafanyi hivyo kwa kutumia akili, bali silika. Vivyo hivyo kobe, ukimshambulia anaficha kichwa kwenye gamba na kukauka kana kwamba ni mfu kumbe anajihami.
Nadharia ya ku-cheat ina presuppose uwepo wa ujuzi, utashi na uamuzi. Mnyama hawezi ku-che

From my experience there are animals which feel guilty! A dog is an example. Nitawapa kisa changu kimoja:
Nikiwa mdogo around 6 years old, tulikuwa na mbwa nyumbani. Huyu mbwa alikuwa ni rafiki yangu sana, nilikuwa naenda naye kuchunga na kokote nitakakoenda, akishaona sina kampani lazima anifuate. Sasa one day nilikuwa nacheza naye, nikawa namziba midomo. Akawa anashindwa kupumua, basi akiona nafanya hivyo alikuwa anaondoka pale nilipo. Mimi nikawa namfuata, nakwenda kumziba tena kwa kuwa nilikuwa nafurahia anavyohangaika. Baada ya uvumilivu kumshinda alining'ata kwenye mkono. Basi nikaanza kulia.
Huwa ninakumbuka yule mbwa alivyokuwa anahangaika kunibembeleza na hata kujaribu kuparua mkono alioniuma, huku akilalamika. Ujue nilianza kumwonea huruma japo amening'ata. Kufika home yule mbwa akawa anawaogopa wazee, akajua watampiga, kwahiyo akawa anakaa mbali kabisa. Nikitoka tu ndani, ananifuata anaanza tena kuninung'unikia. Hadi leo huwa naikumbuka ile hali. Mbwa anafeel gulty sana pengine kumshinda binadamu.
 
Hayo maswali sidhali kama kuna mtu anaweza kuyajibu, labda hilo la mwisho.

Inabidi uwe ushawahi kuwa "mnyama" ndio utaweza kujibu.

Hata wanyama wana maswali mengi sana juu ya binadamu, ila hawana majibu sababu hawajawahi kuwa binadamu, and never will they understand how it feels to be a human being.


Lakini mkuu kwa wenzetu waliondelea hivi sasa haki za wanyama kwao zinzidi hata haki za binadamu huku kwetu(afrika). wana fund research nyingi za tabia za wanyama/wadudu mbali mbali.

Once Niliona kipindi cha BBC kuna mtaalamu anafanya research ya take off /landing ya inzi. teh teh teh .so sidhani mpaka uwe mnyama ndo uweze kuyajibu haya. Huko kwa waliotutangulia wanaweza kuwa na majibu
 
Back
Top Bottom