Mtu aliyeishiwa hoja humalizia hoja zake uvundo kwa kutukana. Hana sera!!!!!
baada ya kituo Maelezo yaliyofuata yana tija sana mkuu.
We kweli DOMOKAYA,kwa kuwa watu wanaupeo mdogo basi wasipigania haki yao yoyote hata ile wanayoijua pamoja na kuwa wameijua?,we kweli MUA-MSHWA,Umeamshwa lini mwenzetu? bora urudi kulala.Maana kuamka kwako unaelekea U-PUMBAVUNI.Hivi wewe uliyeandika uzi huu umeuchambua sawasawa? Hao watu wanaong'ang'ania na kupiga makelele mawaziri wafungwe umewaona na kuwachunguza upeo wao wa uelewa? Yaani unadiriki kusema eti wakaanza kuimba "people's power", maana yake CHADEMA ndo itakayowakomboa? Usidanganywe kabisa...... Tena tafakari kwa umakini. Fanya hivi:- Waambie watu wa Kahama kwamba ukifika wakati wa uchaguzi wa kutafuta viongozi wa CHADEMA wajaze fomu kisha wagombee nafasi ngazi ya Taifa. kisha akipatikana Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mwenyekiti Taifa CHADEMA na viongozi wa ngazi za juu kitaifa za CHADEMA kutokea KAHAMA ndipo tutaamini kuwa ukombozi umekaribia... La sivyo kuchagua CHADOMO ni HASARA bora Mkoloni arudi kututawala! Usiku mwema.
Ila hiyo CHADEMA mnayoipigia kelele mtakuja kuijutia sana!!!! Mimi nawajua sana watu wa Kaskazini.... Ni wabaguzi sana na pia wana roho mbaya sana. Uroho wa madaraka ndo usiseme.... Mungu tuepushe na hili balaa la kutawaliwa na CHAMA kutoka nchi za jirani..... Amin.
..........mkuu, hayo ni mawazo ya watu waliozoea kupewa kofia, khanga, ubwabwa, skafu na vitumbua kwaajili ya kuuza utu na haki zao za msingikila baada ya miaka mitano. Tuombe uhai ili tushuhudie yale ambayo Mungu katupangia tuyaone.Kwa taarifa yenu CHADEMA ama chama chochote cha upinzani siku ukiona kimeshika madaraka basi ujue ni CHAMA CHA MAPINDUZI ndo kimeamua iwe hivyo....... Na si kweli kwamba chama hicho cha upinzani kinasera nzuri kuliko CCM. Uliza chama cha UNIP, KANU utaambiwa......
Baada ya kumaliza kuhutubia watu wasiozidi 70, Nape alisikika akisema tofauti yangu na Mzee Slaa ambaye hajawahi kuwa hata katibu kata na hawezi kuwaruhusu kuuliza maswali,kwa sababu hawezi kuyatatua,ni kwamba mimi ndio msemaji wa chama tawala na akija mwingne ni feki,mimi ni kama baba naomba niwape nafasi muulize maswali. Watu wakajitokeza.
Swali la kwanza: Mh Nape, CCM ndio chama tawala,na hakuna chama kingne tena chenye serikali, tunafahamu kwamba nchi yetu inaendeshwa na sheria na hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria,lakn cha kushangaza sisi wafanyakazi wa mgodini hapa Kakola -Bulyanhulu tumekuwa tukifukuzwa bila taratibu za kisheria kufuatwa,mfano mimi niliwahi kuuliza swali katika kikao chetu tulichofanya hapa mgodini na waziri wa madini alipokuja mgodini, swali lilihusu maslahi yetu na hivyo nilijua nitafukuzwa na mapema kabisa nilimwambia waziri kuwa baada ya swali hli najua sitakuwa na kazi,na yeye mbele ya wamiliki wa mgodi ule na wafanya kazi wenzangu alinìhakikishia kuwa sitafukuzwa,lakini leo ninapoongea hapa tayari nimekwisha fukuzwa,na nimemtumia ujumbe waziri huyo wa CCM lakn hadi leo hajanitetea,je mhe Nape huoni kuwa serikali ya CCM imewekwa mfukoni na kampuni hii ya Barrick?
MAJIBU YA NAPE: Nataka nikuoneshe kuwa nafahamu tatzo hilo, kuna watu sita mmefukuzwa na nimewagiza wabunge wenu akiwemo Maige ambaye yuko hapa wawape ushrikiano ktk kudai haki zenu. Watu wakaguna.!
SWALI LA PILI, Mh Nape kumekuwa na tabia ya watu wakawaida kufungwa kila wanapokamatwa wameiba, lakn jambo hli limekuwa halitokei kwa mawaziri wanapokamatwa kwa wizi,na matokeo yake wamekuwa wakijiuzulu na kuendelea kukaa majukwaani kama ambavyo leo uko na Maige hapo jukwaani, je huoni kuwa huu ni uonevu zidi ya wanyonge?
JIBU LA NAPE. Serikali ya kikwete tangu iingie madarakani imepangua baraza mara 3,hii ni kithibitisho kuwa hatuvumilii ufisadi, na ukweli ni kwamba kuna mawaziri wameshtakiwa, wananchi wakasikika wakisema tunataka wafungwe si kushtakiwa tu.
Halafu wakazomea, wakati m/kiti wa mkoa ccm shinyanga bwana Mgeja alipofunga mkutano ule watu wale wasiozidi 70 wakaanza kuimba peoples power.,peoples power,na kuonesha vidole viwili! Na Nape akapanda Gx lake akitanguliwa na Maige akifuatiwa na Mgeja wote wakiwa ktk magari tofauti wakati wa kuondoka.
Source mimi mwenyewe nilikuwepo.. Sema sikuwa na Camera. Nape anajua nimeandka ukweli mtupu,naweza kuapa kwa jina lolote kuwa hvyo ndvyo ilivyokuwa
kua waziri raha unaiba weeee ukikamatwa unafukuzwa kazi unapewa na mafao yako huyooo unaenda zako kupumzika...ndo mana kila mtu anataka uwaziri
si hivyo mkuu bali mtu akiona anatingwa na kazi ngumu na hana majibu aanaamua kuiba pesa nyingi ili zifidie yote ambayo ataikosa atakaposimamishwa uwazirikua waziri raha unaiba weeee ukikamatwa unafukuzwa kazi unapewa na mafao yako huyooo unaenda zako kupumzika...ndo mana kila mtu anataka uwaziri