nape bwana, eti maalim ameula serikalini kelele zote pyuuu! Labda kweli, lakini mbona na yeye alikuwa mkali sana kwa akina lowasa na cku hizi hasikiki au ameshapata kamgao kake na yeye sasa ananyoa ndevu?Kitu kingne alichosema Nape hapo kakola ambacho ni cha kijinga kwa kujua kuwa hakuna atakayeripoti ni hchi hapa: alisema hvi, jamani msiwasikilize akina Slaa hao wanasumbuliwa na njaa tu, jamani kuna mtu alikuwa mpinzani kama Maalim Self zanzibar? Lakn leo yuko wapi? umempa serikali ya umoja wa taifa na sasa kashba ananyoa ndevu tu. Jamani njaa ni mbaya. Mwisho wa kunukuu