Michael Chairman
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 922
- 581
jifunze zaidi kuhusiana na kampuni hiyo
umekariri mkuuJifunze maswali ya 5 W's and H...yaan (Who,What,Where,When,Why) and How(H) ukijua jinsi ya kujibu maswali ya namna hi ukikosa kazi ni PM
Hapa tutakubabaisha tuu kama unavobabaishaga wenzio, cha muhimu we subiri siku ya interview utaulizwa hayo maswaliMambo wakuu,
Nimeitwa NMB Nothern Zone hapa Arusha,nilikua naomba mnisaidie kunipa format ya maswali wanayouliza kwenye written zao.
Shukrani
Duh! Kweli Una shida mkuu! Umekua mpolee! Hapo hata ukiambiwa vua chupi uiname! Unaacha vyombo vyote Sebureni watu wajipakuliesawa nitafuga
Post ya mwaka 2016 hii boss wenda kapataHahahahaha mkuu perry vipi kazi ulipata?
juzi nilimuona mlimani city nmb as bank tellerPost ya mwaka 2016 hii boss wenda kapata