Hivi mpiga msuli alimaliza chuo?
lusungo
Duh! mkuu, hivi huyu jamaa yupo jf bado?
Nakumbuka fujo zake 2012 alipokuwa amechaguliwa kwenda muccobs...
Hivi mpiga msuli alimaliza chuo?
lusungo
Mpiga msuli yupo kitaa anazunguka na bahashaDuh! mkuu, hivi huyu jamaa yupo jf bado?
Nakumbuka fujo zake 2012 alipokuwa amechaguliwa kwenda muccobs...
Mdogo kama piriton leoMambo wakuu,
Nimeitwa NMB Nothern Zone hapa Arusha,nilikua naomba mnisaidie kunipa format ya maswali wanayouliza kwenye written zao.
Shukrani
Tatizo watu wamekariri,kitu lazima uwe na sijui G.P.A sijui Bcom sijui vurugu gani.Hakuna kazi rahisi kama za benki.Tena za tellers hata form two anafanya.Ukianza ni kukariri tu Transaction codes(TC) ambazo kuna debt(withdrawal) na Credit(Deposit) na ni no zenye tarakimu zisizozidi nne.Kikubwa uwe unajua tu kusoma lugha ya kingereza hata the,the tu maana ndio lugha inayotumika kwenye system.Mengine unajifunza humohumo kazini.Na kama kichwa chako kizuri,ndani ya miezi miwili utakuwa umejua kila kitu.Kwasababu ni kazi ya teller haihitaji G.P.A kubwa.
Hahahaha yeye na Perry now wanaisoma namba!!! Nikiwakumbuka hawa vijana huwa nacheka sana!! CC Advocate JMpiga msuli yupo kitaa anazunguka na bahasha
Teh teh teh walidhani maisha ni magari na magorofa!!!Kwisha kazi
Hiyo MUCOBA bank ndo IPI? Mpatie Perry kazi maana anatanga tanga sana!!nimepitia huu uzi nimecheka sana...ukifanya kazi CRDB,NMB au ACCESS BANK shida tupu usiombe upangiwe idara ya mikopo hulipwi mshahara hadi wakopaji warudishe madeni, yaani hizo bank bora upitie kupata experience then usepe zako uende MUCOBA BANK hapa teller analipwa 1.8 mill hapo sijaweka marupurupu tena yule diploma..tusiangalie majina ya bank tu
Huyu alibadilisha IDHivi mpiga msuli alimaliza chuo?
lusungo
hahaha wazee msije mkanitenga nikimpa ushauriHiyo MUCOBA bank ndo IPI? Mpatie Perry kazi maana anatanga tanga sana!!
Ushindwe kbs ktk Jina la Yesu, ukiulizwa uone wenge tunimeitwa oral leo saa 4 asubuhi.mlionisaidia pm mmbarikiwe sana.mnaojifanya wazee wa kuponda endeleeni na kuponda kwenu
Hata ukioga mjini huendi.....nimeitwa oral leo saa 4 asubuhi.mlionisaidia pm mmbarikiwe sana.mnaojifanya wazee wa kuponda endeleeni na kuponda kwenu
Mambo halichekeshi we unacheka kekeee keee keee, we utakuwa unaliwa samvu SI bure kabisa, " eti umecheka Sana komanimepitia huu uzi nimecheka sana...ukifanya kazi CRDB,NMB au ACCESS BANK shida tupu usiombe upangiwe idara ya mikopo hulipwi mshahara hadi wakopaji warudishe madeni, yaani hizo bank bora upitie kupata experience then usepe zako uende MUCOBA BANK hapa teller analipwa 1.8 mill hapo sijaweka marupurupu tena yule diploma..tusiangalie majina ya bank tu
kijana kuwa na nidhamu sio kila mtu ni mvuta bangi kama weweMambo halichekeshi we unacheka kekeee keee keee, we utakuwa unaliwa samvu SI bure kabisa, " eti umecheka Sana koma
Ok Kula kona basi kiainakijana kuwa na nidhamu sio kila mtu ni mvuta bangi kama wewe
kwa kuwa wewe umezoea kula kona iile basiOk Kula kona basi kiaina
Ok, jikaze kiainakwa kuwa wewe umezoea kula kona iile basi