Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
Mh Zitto naomba utufafanulie sisi wana JF, ushirikiano wako na serikali ya CCM. Tunajua siasa si uadui lakini ndani ya CCM kuna ushahidi wa kutosha kuwa siasa ni uadui. Mfano, Kuna uthibitisho wa makundi ndani ya CCM kuwekeana sumu na juzijuzi tuu imeriportiwa baadhi yao kutishiana kwa mitutu ya bunduki. Pia tumeona serikali ya CCM kwa kushirikiana na vyombo ya dola kuzuia harakati za chama chako cha CDM kuwakomboa wananchi. Tumeona jinsi maisha yakipotea ktk chaguzi mbili ndogo za Igunga na Arumeru.
Dini yangu inanikataza kudhani, hivyo nakuomba utuwekee wazi Faida zako kisiasa binafsi na kichama (CDM) unazopata kwa kushirikiana na Serikali ya CCM. Ikizingatiwa, ndani ya CCM kuna makundi ambayo yanakigawa chama chao na kuelekea Kaburini soon or later. Pia tunajua Mh unayeambatana nae ktk safari za nje ni muhasisi wa siasa za kuchafuana (2005 Salim Ahmed na Mwandosya) na makundi ambayo yameleta matabaka ndani ya CCM kwa walionacho(Mafisadi) na wasionacho.
Mh Zitto kama sikosei wewe ni Mbunge wa Kwanza kufukuzwa Bungeni baada ya kuibua kashfa dhidi ya serikali ya CCM. Pia Mh Zitto ni wewe uliyeanzisha mchakato wa kutaka kumuondoa madarakani Mh Pinda (vote of no confidence) ambayo ilimcost JK kuvunja Balaza lake la mawaziri. Mh Zitto umewapa serikali ya CCM ultimatum kuwataja vigogo walioficha pesa Swizz.
Mambo haya yote si ya kupendeza ndani ya serikali ya CCM ambayo mkuu wake ndiye uliyeambatana nae kwenda Ethiopia. Wote tunajua Mheshimiwa hapendi kukosolewa na constructive criticism kweke ni uadui. Mh Zitto imekuwaje wewe umekuwa kipenzi wake, what is behind the curtain?
Sasa tunaomba bila ya kumung'unya wala kumeza weka kila kitu wazi sisi wana JF tuelewe ukweli wa wasiwasi wetu.
Dini yangu inanikataza kudhani, hivyo nakuomba utuwekee wazi Faida zako kisiasa binafsi na kichama (CDM) unazopata kwa kushirikiana na Serikali ya CCM. Ikizingatiwa, ndani ya CCM kuna makundi ambayo yanakigawa chama chao na kuelekea Kaburini soon or later. Pia tunajua Mh unayeambatana nae ktk safari za nje ni muhasisi wa siasa za kuchafuana (2005 Salim Ahmed na Mwandosya) na makundi ambayo yameleta matabaka ndani ya CCM kwa walionacho(Mafisadi) na wasionacho.
Mh Zitto kama sikosei wewe ni Mbunge wa Kwanza kufukuzwa Bungeni baada ya kuibua kashfa dhidi ya serikali ya CCM. Pia Mh Zitto ni wewe uliyeanzisha mchakato wa kutaka kumuondoa madarakani Mh Pinda (vote of no confidence) ambayo ilimcost JK kuvunja Balaza lake la mawaziri. Mh Zitto umewapa serikali ya CCM ultimatum kuwataja vigogo walioficha pesa Swizz.
Mambo haya yote si ya kupendeza ndani ya serikali ya CCM ambayo mkuu wake ndiye uliyeambatana nae kwenda Ethiopia. Wote tunajua Mheshimiwa hapendi kukosolewa na constructive criticism kweke ni uadui. Mh Zitto imekuwaje wewe umekuwa kipenzi wake, what is behind the curtain?
Sasa tunaomba bila ya kumung'unya wala kumeza weka kila kitu wazi sisi wana JF tuelewe ukweli wa wasiwasi wetu.