Maswali ya wazi kwa Mh Zitto Kabwe

Fitinamwiko

JF-Expert Member
Aug 13, 2012
4,803
1,416
Mh Zitto naomba utufafanulie sisi wana JF, ushirikiano wako na serikali ya CCM. Tunajua siasa si uadui lakini ndani ya CCM kuna ushahidi wa kutosha kuwa siasa ni uadui. Mfano, Kuna uthibitisho wa makundi ndani ya CCM kuwekeana sumu na juzijuzi tuu imeriportiwa baadhi yao kutishiana kwa mitutu ya bunduki. Pia tumeona serikali ya CCM kwa kushirikiana na vyombo ya dola kuzuia harakati za chama chako cha CDM kuwakomboa wananchi. Tumeona jinsi maisha yakipotea ktk chaguzi mbili ndogo za Igunga na Arumeru.

Dini yangu inanikataza kudhani, hivyo nakuomba utuwekee wazi Faida zako kisiasa binafsi na kichama (CDM) unazopata kwa kushirikiana na Serikali ya CCM. Ikizingatiwa, ndani ya CCM kuna makundi ambayo yanakigawa chama chao na kuelekea Kaburini soon or later. Pia tunajua Mh unayeambatana nae ktk safari za nje ni muhasisi wa siasa za kuchafuana (2005 Salim Ahmed na Mwandosya) na makundi ambayo yameleta matabaka ndani ya CCM kwa walionacho(Mafisadi) na wasionacho.

Mh Zitto kama sikosei wewe ni Mbunge wa Kwanza kufukuzwa Bungeni baada ya kuibua kashfa dhidi ya serikali ya CCM. Pia Mh Zitto ni wewe uliyeanzisha mchakato wa kutaka kumuondoa madarakani Mh Pinda (vote of no confidence) ambayo ilimcost JK kuvunja Balaza lake la mawaziri. Mh Zitto umewapa serikali ya CCM ultimatum kuwataja vigogo walioficha pesa Swizz.

Mambo haya yote si ya kupendeza ndani ya serikali ya CCM ambayo mkuu wake ndiye uliyeambatana nae kwenda Ethiopia. Wote tunajua Mheshimiwa hapendi kukosolewa na constructive criticism kweke ni uadui. Mh Zitto imekuwaje wewe umekuwa kipenzi wake, what is behind the curtain?

Sasa tunaomba bila ya kumung'unya wala kumeza weka kila kitu wazi sisi wana JF tuelewe ukweli wa wasiwasi wetu.
 
Kwa uelewa wangu mdogo wa mambo ya kisiasa na kwa jinsi ninavyomfahamu Zitto akiwa bado UDSM, sitegemei kupata jibu lolote la maswali yako. Hivyo niwaombe tu ndugu mwenye ID ya hutaki unaacha na dévil watusaidie majibu ya maswali haya, kwani siyo wewe tu ambaye muenendo wa Zitto unakupa shida, bali ni watu wengi sana hatuna imani na ndugu Zitto.
 
Mimi nadhani ukweli ni kwamba: Zitto amekuwa mwiba sana kwa serikali. Walipotaka kumpoteza kwa kumuadhibu viadhabu vya hapa na pale walijikuta ndio kwanza wanamjengea umaarufu. sasa kama wasemavyo waingeleza " I you can't fight them, join them", wameamua kummaliza kwa plan B ambayo ni kuungana naye na kumpenda sana. Nilihisi Zitto kaingia kingi lakini siku zinavyoenda na mambo yanavyokwenda nagundua kuwa Z ni mjanja sana kuliko Serikali wanavyodhani. Huo ni mtazamo tu
 
Mh Zitto naomba utufafanulie sisi wana JF, ushirikiano wako na serikali ya CCM. Tunajua siasa si uadui lakini ndani ya CCM kuna ushahidi wa kutosha kuwa siasa ni uadui. Mfano, Kuna uthibitisho wa makundi ndani ya CCM kuwekeana sumu na juzijuzi tuu imeriportiwa baadhi yao kutishiana kwa mitutu ya bunduki. Pia tumeona serikali ya CCM kwa kushirikiana na vyombo ya dola kuzuia harakati za chama chako cha CDM kuwakomboa wananchi. Tumeona jinsi maisha yakipotea ktk chaguzi mbili ndogo za Igunga na Arumeru.
Dini yangu inanikataza kudhani, hivyo nakuomba utuwekee wazi Faida zako kisiasa binafsi na kichama (CDM) unazopata kwa kushirikiana na Serikali ya CCM. Ikizingatiwa, ndani ya CCM kuna makundi ambayo yanakigawa chama chao na kuelekea Kaburini soon or later. Pia tunajua Mh unayeambatana nae ktk safari za nje ni muhasisi wa siasa za kuchafuana (2005 Salim Ahmed na Mwandosya) na makundi ambayo yameleta matabaka ndani ya CCM kwa walionacho(Mafisadi) na wasionacho.
Mh Zitto kama sikosei wewe ni Mbunge wa Kwanza kufukuzwa Bungeni baada ya kuibua kashfa dhidi ya serikali ya CCM. Pia Mh Zitto ni wewe uliyeanzisha mchakato wa kutaka kumuondoa madarakani Mh Pinda (vote of no confidence) ambayo ilimcost JK kuvunja Balaza lake la mawaziri. Mh Zitto umewapa serikali ya CCM ultimatum kuwataja vigogo walioficha pesa Swizz. Mambo haya yote si ya kupendeza ndani ya serikali ya CCM ambayo mkuu wake ndiye uliyeambatana nae kwenda Ethiopia. Wote tunajua Mheshimiwa hapendi kukosolewa na constructive criticism kweke ni uadui. Mh Zitto imekuwaje wewe umekuwa kipenzi wake, what is behind the curtain?
Sasa tunaomba bila ya kumung'unya wala kumeza weka kila kitu wazi sisi wana JF tuelewe ukweli wa wasiwasi wetu.

Hata weza kukufahamisha; lakini Unajua kuwa Nia yake ya kuwa Rais ilitoka IKULU ya Jakaya KIKWETE kumpambanisha ZITTO

KABWE na Kijana wa RAIS; JANUARY MAKAMBA; Angalia Vile January alivyo na NGUVU Naibu Waziri ana NGUVU ya kuzuia

WAPINZANI kwenda TANGA kufanya kampeni Kila mtu wa Kikwete aliye karibu na yeye ana bwata lolote na RAIS yuko KIMYA...

INASIKITISHA sana... Naanza kuamini kweli Mwl. NYERERE alisema Kweli kuwa KIKWETE hauwezi URAIS; sasa hivi anatuacha

akiondoka 2015; ataiacha NCHI kwenye MZIGO ambao SIJUI KAMA ataweza kutuacha Salama... atatuacha kwenye MASUALA

yafuatayo;

1. MATATIZO YA DINI ambayo yeye pia amechangia

2. MATATIZO ya Ukabila yeye pia Amechangia

3. MATATIZO ya Ardhi - Wageni Wamepewa Ardhi na Wengi ya wananchi hawana Ardhi

4. Matabaka sasa Baadhi ya VIONGOZi wana Dai UKwao - January na TANGA

5. UFISADI uliokufuru hadi USWISI

6. Mtoto au watoto wa Rais na Marafiki kuwa na Mali
 
Mh Zitto naomba utufafanulie sisi wana JF, ushirikiano wako na serikali ya CCM. Tunajua siasa si uadui lakini ndani ya CCM kuna ushahidi wa kutosha kuwa siasa ni uadui. Mfano, Kuna uthibitisho wa makundi ndani ya CCM kuwekeana sumu na juzijuzi tuu imeriportiwa baadhi yao kutishiana kwa mitutu ya bunduki. Pia tumeona serikali ya CCM kwa kushirikiana na vyombo ya dola kuzuia harakati za chama chako cha CDM kuwakomboa wananchi. Tumeona jinsi maisha yakipotea ktk chaguzi mbili ndogo za Igunga na Arumeru.
Dini yangu inanikataza kudhani, hivyo nakuomba utuwekee wazi Faida zako kisiasa binafsi na kichama (CDM) unazopata kwa kushirikiana na Serikali ya CCM. Ikizingatiwa, ndani ya CCM kuna makundi ambayo yanakigawa chama chao na kuelekea Kaburini soon or later. Pia tunajua Mh unayeambatana nae ktk safari za nje ni muhasisi wa siasa za kuchafuana (2005 Salim Ahmed na Mwandosya) na makundi ambayo yameleta matabaka ndani ya CCM kwa walionacho(Mafisadi) na wasionacho.
Mh Zitto kama sikosei wewe ni Mbunge wa Kwanza kufukuzwa Bungeni baada ya kuibua kashfa dhidi ya serikali ya CCM. Pia Mh Zitto ni wewe uliyeanzisha mchakato wa kutaka kumuondoa madarakani Mh Pinda (vote of no confidence) ambayo ilimcost JK kuvunja Balaza lake la mawaziri. Mh Zitto umewapa serikali ya CCM ultimatum kuwataja vigogo walioficha pesa Swizz. Mambo haya yote si ya kupendeza ndani ya serikali ya CCM ambayo mkuu wake ndiye uliyeambatana nae kwenda Ethiopia. Wote tunajua Mheshimiwa hapendi kukosolewa na constructive criticism kweke ni uadui. Mh Zitto imekuwaje wewe umekuwa kipenzi wake, what is behind the curtain?
Sasa tunaomba bila ya kumung'unya wala kumeza weka kila kitu wazi sisi wana JF tuelewe ukweli wa wasiwasi wetu.

Ungeainisha kwanza vitu alivyofanya Zitto ambavyo umeamua kuviita kushirikiana na serikali ya CCM. Halafu ndio utake kuambiwa sababu ya vitu hivyo kufanyika.
 

Zitto anatumika kwa Maslahi YAKE binafsi, na sio zaidi....! Kabla ya kuwa Mbunge, hakuwa anamiliki kiasi cha fedha alichonacho sasa. Na hata ukijumlisha tangu senti ya kwanza HALALI aliyoipata tangu aingie bungeni hadi sasa, jumla yake ni ndogo na kiasi anachomiliki. Ziada inatoka wapi?

Zamani alikuwa hatoi ulmutm ili kutaja majina au scandle, now anaota ultmutm ili apewe chake anyamaze...!
Tangu alipoitwa na Mkuu, na akaja na ishu kuwa serikali inunue Downs badala ya kuitaifisha na kuwasweka ndani wahujumu....nikajua ...... lol....Zito kashakuwa...Nyepesi!

Nyepesi Zuberi Kbwe, anayo haki ya kuwania na kutangaza nia yake ya kuwa Rais.....Lakini ishu ni kuwa nia hiyo yake anaiongelea wapi? Anaiongelea lini? Kumuhonga vijisenti mwandishi wa habari ili aandike nia ya kuwa Rais ni kutaka kuleta chokochoko, huku ukijua chama ulichonacho kinazo taratibu zake...hali hii ndiyo inakikuta CCM now. Kila mtu anataka kuwa Rais, kila mtu anamwogopa mwenzie, kilichobaki ni makundi na mifarakano katika kuchafuana.

".......ooh, mkurugenzi kaonewa,......oooh, sheria za manunuzi hazikufuatwa kwa kuwapa tenda PUMA......" ISHU ni kuwa hata kama ni KATIBA nzima inavunjwa katika hali ya kumpa Mtanzania masikini unafuu, sio tu ivunjwe, ikibidi ichomwe moto, kwani cha msingi ni uzalendo kwanza....." Kikweli hapa ndipo nilipompa 5, bi kiroboto baada ya kumzodoa kutoingilia muhimili mwingine wa dola katika maamuzi yake...."

Tushaona puppet wa aina hii wengi tu ulimwenguni, ambo mwisho wao huwa sio mzuri......!

Kibanga Msese
 
Ungeainisha kwanza vitu alivyofanya Zitto ambavyo umeamua kuviita kushirikiana na serikali ya CCM. Halafu ndio utake kuambiwa sababu ya vitu hivyo kufanyika.

Aseme nini tena wakati kila kitu kipo wazi kaka...au upo bize kukatiza GOBI desert mkuu Marcopolo
 
Time has come to fire him, ngoja tusubiri ripoti ya mzee Ngwilizi kama akitajwa kupokea rushwa aondoke mwenyewe! Halafu inashangaza wenzie ndani ya chama wanaeneza chama kupitia M4C lakini yeye sijawahi kusikia hata akitaja neno hilo M4C hata sijui kama anajua maana yake! CDM ichukue maamuzi magumu,.tena kunako mapema!!
 

Zitto anatumika kwa Maslahi YAKE binafsi, na sio zaidi....! Kabla ya kuwa Mbunge, hakuwa anamiliki kiasi cha fedha alichonacho sasa. Na hata ukijumlisha tangu senti ya kwanza HALALI aliyoipata tangu aingie bungeni hadi sasa, jumla yake ni ndogo na kiasi anachomiliki. Ziada inatoka wapi?

Zamani alikuwa hatoi ulmutm ili kutaja majina au scandle, now anaota ultmutm ili apewe chake anyamaze...!
Tangu alipoitwa na Mkuu, na akaja na ishu kuwa serikali inunue Downs badala ya kuitaifisha na kuwasweka ndani wahujumu....nikajua ...... lol....Zito kashakuwa...Nyepesi!

Nyepesi Zuberi Kbwe, anayo haki ya kuwania na kutangaza nia yake ya kuwa Rais.....Lakini ishu ni kuwa nia hiyo yake anaiongelea wapi? Anaiongelea lini? Kumuhonga vijisenti mwandishi wa habari ili aandike nia ya kuwa Rais ni kutaka kuleta chokochoko, huku ukijua chama ulichonacho kinazo taratibu zake...hali hii ndiyo inakikuta CCM now. Kila mtu anataka kuwa Rais, kila mtu anamwogopa mwenzie, kilichobaki ni makundi na mifarakano katika kuchafuana.

".......ooh, mkurugenzi kaonewa,......oooh, sheria za manunuzi hazikufuatwa kwa kuwapa tenda PUMA......" ISHU ni kuwa hata kama ni KATIBA nzima inavunjwa katika hali ya kumpa Mtanzania masikini unafuu, sio tu ivunjwe, ikibidi ichomwe moto, kwani cha msingi ni uzalendo kwanza....." Kikweli hapa ndipo nilipompa 5, bi kiroboto baada ya kumzodoa kutoingilia muhimili mwingine wa dola katika maamuzi yake...."

Tushaona puppet wa aina hii wengi tu ulimwenguni, ambo mwisho wao huwa sio mzuri......!

Kibanga Msese
MIMI najua huyu dogo soon atakuwa sifuri kabisa kwenye siasa kwani hajitambui na anatamaa ya kupitiliza ya kutaka kuwa RAIS,katumwa huyu mtusi watanzania tuweni macho.
 
njaa haina bouncer kweli.....kijana kaiendekeza mno njaa looo!
mimi namjua sana uyu jamaa, nikibaraka mkubwa wa cdm, amejaribu kila njia kukibomoa cdm anashindwa maana kule kuna vichwa zaidi yake, kwa sasa umaarufu anai nje ya chama, ila ukifika kwenye vikao anakuwa mpole kama nn, uyu zitto amesha pitea kabisaaaaaa...ngumu kurudisha imani kwa watanzania, kula mwana cdm anamjua full kiburi sasa, daaa kweli zitto hana shukrani angalia picha kipindi akiwa mwanaharakati na sasa ni tofauti....
Kama kweli anasingiziwa aje apa ajitetee..
 
Aseme nini tena wakati kila kitu kipo wazi kaka...au upo bize kukatiza GOBI desert mkuu Marcopolo
Zitto anahitaji msaada.
Kubadilika ghafla yamkini kuna sababu.
Ushirika na JK, Jack Zotta na Ikulu lazima una sababu.
Zitto anasukumwa kugombea Uraisi kupitia CDM kwa kuwa ni rahisi kumuengua kwa kipengele cha URAIA.
Mwenye masikio na asikie!
 
haka kajamaa sikaamini kabisa tena anajimaliza mwenyewe mana watu tushamshtukia
 
MIMI najua huyu dogo soon atakuwa sifuri kabisa kwenye siasa kwani hajitambui na anatamaa ya kupitiliza ya kutaka kuwa RAIS,katumwa huyu mtusi watanzania tuweni macho.

Watusi wano mpango mzima wa kutawala nchi za maziwa makuu.hii ni ajenda yao ya siri, kama huyu naye ndiyo hivyo kwa TZ imekula kwake tutamgundua muda si mrefu maana tabia zao zinajulikana
 
Zitto ndio anazidi kwisha kama hajui hilo anazidi kujichimbia kaburi......Hata Bungeni Kijana Myika na Tundu Lissu walishaanza mfunika sasa ameamua kutumika CCM ili kuikoroga CDM
 
Mh Zitto naomba utufafanulie sisi wana JF, ushirikiano wako na serikali ya CCM. Tunajua siasa si uadui lakini ndani ya CCM kuna ushahidi wa kutosha kuwa siasa ni uadui. Mfano, Kuna uthibitisho wa makundi ndani ya CCM kuwekeana sumu na juzijuzi tuu imeriportiwa baadhi yao kutishiana kwa mitutu ya bunduki. Pia tumeona serikali ya CCM kwa kushirikiana na vyombo ya dola kuzuia harakati za chama chako cha CDM kuwakomboa wananchi. Tumeona jinsi maisha yakipotea ktk chaguzi mbili ndogo za Igunga na Arumeru.
Dini yangu inanikataza kudhani, hivyo nakuomba utuwekee wazi Faida zako kisiasa binafsi na kichama (CDM) unazopata kwa kushirikiana na Serikali ya CCM. Ikizingatiwa, ndani ya CCM kuna makundi ambayo yanakigawa chama chao na kuelekea Kaburini soon or later. Pia tunajua Mh unayeambatana nae ktk safari za nje ni muhasisi wa siasa za kuchafuana (2005 Salim Ahmed na Mwandosya) na makundi ambayo yameleta matabaka ndani ya CCM kwa walionacho(Mafisadi) na wasionacho.
Mh Zitto kama sikosei wewe ni Mbunge wa Kwanza kufukuzwa Bungeni baada ya kuibua kashfa dhidi ya serikali ya CCM. Pia Mh Zitto ni wewe uliyeanzisha mchakato wa kutaka kumuondoa madarakani Mh Pinda (vote of no confidence) ambayo ilimcost JK kuvunja Balaza lake la mawaziri. Mh Zitto umewapa serikali ya CCM ultimatum kuwataja vigogo walioficha pesa Swizz. Mambo haya yote si ya kupendeza ndani ya serikali ya CCM ambayo mkuu wake ndiye uliyeambatana nae kwenda Ethiopia. Wote tunajua Mheshimiwa hapendi kukosolewa na constructive criticism kweke ni uadui. Mh Zitto imekuwaje wewe umekuwa kipenzi wake, what is behind the curtain?
Sasa tunaomba bila ya kumung'unya wala kumeza weka kila kitu wazi sisi wana JF tuelewe ukweli wa wasiwasi wetu.
Kwanza unisamehe Mkuu Fitinamwiko, nina wasiwasi na hii avatar yako. Wakati tunasubiri Zitto aje kutupa majibu yako, naomba unisaidie jawabu wewe na wenzako ambao wana mawazo kama yako, "Ikiwa Zitto ni mnafiki, anatumiwa na CCM kuisambaratisha CDM, yupo kwa maslahi binafsi....hivi uongozi wa juu wa CDM hawayajui hayo? Kama unayajua, kwa nini unaendelea kubakia na mtu kama huyu ndani ya chama chao?"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom