Maswali ya Sensa 8 tu? why

Duduwasha

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
5,703
3,653
Mbona Watu wa Mjini Tuliambiwa tutaulizwa maswali mengi zaidi ya 63 lakini mimi nimeulizwa maswali Nane tu oi au Wamechukua vilaza kuwahesabu watu so wameshindwa kusoma vipengele vingi...

1. Jina lako? Duduwasha

2.Umri wako?Old Enough

3.Una Mke? Sijaoa Kwa nini Bahati bado haiafika akacheka! Mdada huyo...

4.Mpo wangapi kwenye kaya yako? Mmoja

5.Una Ulemavu wowote? Sina

6.Unasoma Elimu yako? Chuo nimemaliza! - Nakumbuka Kikwete amesema akimaliza uraisi ataanza kusoma tena? Sijui atasomea wapi au Nje! USA kama sumaye! Tutakimbiwa

7.Upo kwenye mfuko wowote wa Jamii? Ndiyo NSSF Ila wafikishie ujumbe nataka niache kazi niendeleze biashara mafao yangu nayataka yote

8.Una mtu yeyeto aliyesafiri nje ya Nchi? Mdogo wangu amesharejea na ataondoka tena karibuni

Nikawauliza una Yameisha? Wakasema Ndiyo? Nikashangaa! Manake walisema kutakuwa na maswali zaidi ya 60
 
Mi yaliongezeka mawili
Unajishushugulisha na kilimo au ufugaji
Upo kwenye bima ya afya
BAADA YA HAPO WAKATOKA MBIO
 
Sensa na maajabu yake:mimi niliulizwa maswali mengi mfano:una pasi ya mkaa,una pasi ya umeme,friji je,simu ya mkononi,kompyuta?kuna mlemavu?etc kwa ujumla nilishangaa kidogo na nilipommuliza alinieleza kuwa kuna dodoso fupi na refu na kwamba mimi ameniuliza kwa dodoso refu,then nikamuuliza mnatumia vigezo gani kuhoji wengine kwa dodoso fupi na wengine kwa dodoso refu akasema makarani wamegawanywa kundi la dodoso fupi na kundi la dodoso refu,hivyo inategemea ni karani yupi amewahi kufika kwako.Mimi sielewi ni kwanini maswali yawe tofauti katika sensa ile ile,wnegine waulizwe dodso fupi ya maswali tisa na wengine dodoso refu la maswali 54,tafadhali mwenye ufahamu wa mambo haya ya sensa anieleweshe logic ya hii kitu maana niko gizani.
 
Hii sensa moja ya nchi moja? Mbona maswali tofauti?

Au mzaha huu?
 
Maswali mengine yaliyopo kwenye dodoso yanahitaji just observartion ya karani na si lazima akuulize vitu vyote. Kwa mfano, kujua nyumba imeezekwa bati au nyasi or kujua kama nyumba yako ina umeme au haina, kujua unapata huduma ya maji safi au la si lazima akuulize, akifika tu nyumbani kwako anaona. So ukiona umeulizwa maswali machache ujue the rest ameyaobserve mwenyewe na kuyajaza.
 
Maswali mengine yaliyopo kwenye dodoso yanahitaji just observartion ya karani na si lazima akuulize vitu vyote. Kwa mfano, kujua nyumba imeezekwa bati au nyasi or kujua kama nyumba yako ina umeme au haina, kujua unapata huduma ya maji safi au la si lazima akuulize, akifika tu nyumbani kwako anaona. So ukiona umeulizwa maswali machache ujue the rest ameyaobserve mwenyewe na kuyajaza.

questionnaire and observation sheet ni vitu viwili tofauti. Hapa mtoa mada anauliza kuhusu questionnaire!
 
Mbona Watu wa Mjini Tuliambiwa tutaulizwa maswali mengi zaidi ya 63 lakini mimi nimeulizwa maswali Nane tu oi au Wamechukua vilaza kuwahesabu watu so wameshindwa kusoma vipengele vingi...

1. Jina lako? Duduwasha

2.Umri wako?Old Enough

3.Una Mke? Sijaoa Kwa nini Bahati bado haiafika akacheka! Mdada huyo...

4.Mpo wangapi kwenye kaya yako? Mmoja

5.Una Ulemavu wowote? Sina

6.Unasoma Elimu yako? Chuo nimemaliza! - Nakumbuka Kikwete amesema akimaliza uraisi ataanza kusoma tena? Sijui atasomea wapi au Nje! USA kama sumaye! Tutakimbiwa

7.Upo kwenye mfuko wowote wa Jamii? Ndiyo NSSF Ila wafikishie ujumbe nataka niache kazi niendeleze biashara mafao yangu nayataka yote

8.Una mtu yeyeto aliyesafiri nje ya Nchi? Mdogo wangu amesharejea na ataondoka tena karibuni

Nikawauliza una Yameisha? Wakasema Ndiyo? Nikashangaa! Manake walisema kutakuwa na maswali zaidi ya 60

Hata wanaotoa majibu kama wewe hamsikilizi maswali vizuri; hivi jibu la 'una mke?' ni 'sijaoa?'. Mfuko wa jamii au mfuko wa hifadhi ya jamii?
 
questionnaire and observation sheet ni vitu viwili tofauti. Hapa mtoa mada anauliza kuhusu questionnaire!

Vyovyote utakavyoweza kuiita ila wao wameita dodoso, sasa sijui kiingereza chake km ni questionnaire au ni observation sheet, ila fahamu kuwa hilo dodoso anakuwa nalo yeye na anapokuuliza anajaza yeye, not like common questionnaires ambazo unapewa, unasoma maswali then unajibu na kujaza accordingly. Muulize mtoa mada kama alikabidhiwa hilo dodoso halafu akasoma na kuona kama lina maswali hayo machache. Nadhani umenielewa. I hope bado haujahesabiwa mkuu.
 
Mbona Watu wa Mjini Tuliambiwa tutaulizwa maswali mengi zaidi ya 63 lakini mimi nimeulizwa maswali Nane tu oi au Wamechukua vilaza kuwahesabu watu so wameshindwa kusoma vipengele vingi...

1. Jina lako? Duduwasha

2.Umri wako?Old Enough

3.Una Mke? Sijaoa Kwa nini Bahati bado haiafika akacheka! Mdada huyo...

4.Mpo wangapi kwenye kaya yako? Mmoja

5.Una Ulemavu wowote? Sina

6.Unasoma Elimu yako? Chuo nimemaliza! - Nakumbuka Kikwete amesema akimaliza uraisi ataanza kusoma tena? Sijui atasomea wapi au Nje! USA kama sumaye! Tutakimbiwa

7.Upo kwenye mfuko wowote wa Jamii? Ndiyo NSSF Ila wafikishie ujumbe nataka niache kazi niendeleze biashara mafao yangu nayataka yote

8.Una mtu yeyeto aliyesafiri nje ya Nchi? Mdogo wangu amesharejea na ataondoka tena karibuni

Nikawauliza una Yameisha? Wakasema Ndiyo? Nikashangaa! Manake walisema kutakuwa na maswali zaidi ya 60

sasa hapo kwenye red alikuwa anatania au alikuwa anamaanisha?
 
Sensa na maajabu yake:mimi niliulizwa maswali mengi mfano:una pasi ya mkaa,una pasi ya umeme,friji je,simu ya mkononi,kompyuta?kuna mlemavu?etc kwa ujumla nilishangaa kidogo na nilipommuliza alinieleza kuwa kuna dodoso fupi na refu na kwamba mimi ameniuliza kwa dodoso refu,then nikamuuliza mnatumia vigezo gani kuhoji wengine kwa dodoso fupi na wengine kwa dodoso refu akasema makarani wamegawanywa kundi la dodoso fupi na kundi la dodoso refu,hivyo inategemea ni karani yupi amewahi kufika kwako.Mimi sielewi ni kwanini maswali yawe tofauti katika sensa ile ile,wnegine waulizwe dodso fupi ya maswali tisa na wengine dodoso refu la maswali 54,tafadhali mwenye ufahamu wa mambo haya ya sensa anieleweshe logic ya hii kitu maana niko gizani.

MKUU NA MIMI NIMEULIZWA HILI REFU AAAH MPAKA KERO DAAh!
 
Kwanza naomba nikusahihishe, dodoso fupi lina maswali 37 na refu lina maswali 62, na pia Wamefanya hivyo sababu ya maeneo ya kuhesabia watu yaani EA(Enumeration Area) kuna zingine ni kubwa na zingine ni ndogo,kwa hiyo wale wa dodoso fupi wamepewa EA ndogo compared na wa dodoso refu,pia makarani wa dodoso refu huwa wawili ktk EA moja!!
 
Yeah, kuna dodoso fupi (maswali 37) na dodoso refu (maswali 62). Kuna maswali mengine anatumia tu uzoefu na common sense. Kwa mfano, akiuliza elimu yako na ukamjibu first degree, haoni sababu ya kukuuliza "unajua kusoma na kuandika?". Lakini kwenye dodoso, elimu yako niswali moja na kujua kusoma & kuandika ni swali jingine.
Dodoso Fupi​
litakuwa na maswali 37 na Dodoso Refu litakuwa na maswali 62. Mahali ambapo Dodoso Fupi litatumika kuhesabu watu Dodoso Refu halitatumika, na pale ambapo Dodoso Refu litatumika Dodoso Fupi halitatumika. Asilimia 70 ya maeneo ya kuhesabia watu yatatumia Dodoso Fupi
 
Maswali mengine yaliyopo kwenye dodoso yanahitaji just observartion ya karani na si lazima akuulize vitu vyote. Kwa mfano, kujua nyumba imeezekwa bati au nyasi or kujua kama nyumba yako ina umeme au haina, kujua unapata huduma ya maji safi au la si lazima akuulize, akifika tu nyumbani kwako anaona. So ukiona umeulizwa maswali machache ujue the rest ameyaobserve mwenyewe na kuyajaza.

hapo nikuniwekea maneno mdomoni Je kama nina bomba lakini kutokana na ukata wa maisha walishakata umeme na maji si atanijibia ndio
 
Hii sensa moja ya nchi moja? Mbona maswali tofauti?

Au mzaha huu?

Sensa wakifanya kawaida inagawika sehemu mbili

Moja inakuwa ya kujua idadi ya watu na nyengine wanaita Household Budget Survey

Hii ya HBS inakuwa na masuala mengi yanayohusiana na income, matumizi na ownership of appliances kwenye kaya.

Sio watu wote wanaoulizwa hii ya HBS maana masuala ni mengi mno

Mfano wa masuala hayo ni pamoja na
1. Unatumia kiasi gani cha mapato yako kwa nishati?
2. Unatumia kiasi gani cha mapato yako kwa chakula?
3. Unatumia kiasi gani cha mapato kwa usafiri?
 
Yeah, kuna dodoso fupi (maswali 37) na dodoso refu (maswali 62). Kuna maswali mengine anatumia tu uzoefu na common sense. Kwa mfano, akiuliza elimu yako na ukamjibu first degree, haoni sababu ya kukuuliza "unajua kusoma na kuandika?". Lakini kwenye dodoso, elimu yako niswali moja na kujua kusoma & kuandika ni swali jingine.


ninawasubili kwa hamu lakini sitakuwa na mda wa kuwapa waniulze maswali 62 nitawaomba waondoke hii itakuwa kero tena
 
ULIMUULIZA KWANINI?

1. Hawezi kukuuliza kama wewe ni albino wakati anakuona siyo

2. Kama ni Mwanafunzi wa chuo huwezi kuulizwa unamifugo mingapi


Maswali Mengine hawezi kukuuliza kutokana na mazingira yako. Na uwe unamuuliza ili akufafanulie siyo kuja Kulalamika JF
 
Maswali mengine yaliyopo kwenye dodoso yanahitaji just observartion ya karani na si lazima akuulize vitu vyote. Kwa mfano, kujua nyumba imeezekwa bati au nyasi or kujua kama nyumba yako ina umeme au haina, kujua unapata huduma ya maji safi au la si lazima akuulize, akifika tu nyumbani kwako anaona. So ukiona umeulizwa maswali machache ujue the rest ameyaobserve mwenyewe na kuyajaza.
KUna mtu kaulizwa jinsi yake!
 
ULIMUULIZA KWANINI?

1. Hawezi kukuuliza kama wewe ni albino wakati anakuona siyo

2. Kama ni Mwanafunzi wa chuo huwezi kuulizwa unamifugo mingapi


Maswali Mengine hawezi kukuuliza kutokana na mazingira yako. Na uwe unamuuliza ili akufafanulie siyo kuja Kulalamika JF
Sasa wenyewe wapo Busy unataka niwaulize eeh! na mimi pia nilikuwa mbio mbio... Nilimuuliza Hapo ndio mwisho wa maswali akasema Ndio... Wewe ulitaka niendelee au nimbishie?? wewe RGforever hujaacha kunywa Wanzuki! tu

Jinsi unavyoonekana Mlevi Unasema Mwanafunzi huwezi kumuuliza ana mifugo Mingapi? unadhania kuitwa mwanafunzi ni ulofa? watu wanarithi mali Jirani yangu kuna Mwanafunzi anamiliki Nyumba na mali kadhaa alizoachiwa na Wazazi wake Marehemu, kama karani mjinga kama wewe hatauliza ni kosa kubwa kwa kazi aliyopewa.

naona Hangover za Jumapili hazijakuisha! kuna kitu unakitafuta!
 
Last edited by a moderator:
Hata wanaotoa majibu kama wewe hamsikilizi maswali vizuri; hivi jibu la 'una mke?' ni 'sijaoa?'. Mfuko wa jamii au mfuko wa hifadhi ya jamii?
Kwahiyo ningesikiliza Vizuri ningepata nini? na hapo sikuweka tu sahihi alisoma kwenye karatasi zake una mke? kisha akasema uomeoa? nikajibu Sijaoa.
na kuhusu huo Mfuko ndivo alivyotamka tena akatoa hadi mfano kabisa NSSF? Ndio Nikajibu wewe lipi Utakalo.. Watu Wengine Hupenda Ligi za Kijinga!
 
Back
Top Bottom