CHADEMA walianza kusema 'Peoples Power' kabla ya Tunusia na wakati wote huo serikali na hasa ccm walikuwa wanakebehi huo usemi. Ila baada ya Misri ghafla tukaanza kusikia malalamiko toka kwa hawa wakubwa hasa Chiligati alikuwa analalamika kama mtoto mdogo! Walifikia mahali wakasema 'vyama vya msimu'. Sasa kama kweli kama wao ni ngangari wasimame wenyewe bila msaada wa mitutu ya polisi.
CHADEMA walianza kusema 'Peoples Power' kabla ya Tunusia na wakati wote huo serikali na hasa ccm walikuwa wanakebehi huo usemi. Ila baada ya Misri ghafla tukaanza kusikia malalamiko toka kwa hawa wakubwa hasa Chiligati alikuwa analalamika kama mtoto mdogo! Walifikia mahali wakasema 'vyama vya msimu'. Sasa kama kweli kama wao ni ngangari wasimame wenyewe bila msaada wa mitutu ya polisi.
huna akili wewe unamaana ccm wanategemea police unataka wapambane live wanachama wa ccm na chadema? Nani atakayebaki na yatakayotokea wewe utanufaika nn na chama chako kama c kupoteza maisha ya watu?, au hutambui tafsiri ya police?,, acheni ushamba wa kisiasa.
huna akili wewe unamaana ccm wanategemea police unataka wapambane live wanachama wa ccm na chadema? Nani atakayebaki na yatakayotokea wewe utanufaika nn na chama chako kama c kupoteza maisha ya watu?, au hutambui tafsiri ya police?,, acheni ushamba wa kisiasa.