BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,987
- 2,009
wakati serikali inatagaza uamuzi wa kulifungia gazeti la mwanahalisi,ilitoa onyo pia kwa magazeti mengine yanayoandika taarifa za uchochezi na kupandikiza chuki kwa jamii.
Naona unahangaika sana,pole sana!