Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,933
- 32,341
Pinda anasema mwanahalisi waende mahakamani wakati anajua huko mahakamani wapo wale majaji na mahakimu alio wasema TL kwenye utetezi wake.
Sasa kama Mbowe anajua hivyo kwa nini kauliza swali hilo.