toghocho
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 1,172
- 198
hey wana jf; kuna watu wanauliza maswali ambayo ni ya kizushi, dawa yao kuwajibu dry, kama hivi
(kwenye foleni mwisho)
S:we ndo wa mwisho kwenye line?
J: hapana mi ni wa kwanza tumesimama kinyumenyume
(kwenye basi mama amebeba mtoto)
S: mtoto wangu mzuri ee?
J: huyo ni mtoto?
(kwenye daladala, class, hotelini,cafe na maeneo kama hayo-siti iko wazi)
S:Kuna mtu hapa?
J: yeah, kuna mzimu wa bibi yako.
ongezea na maswali na majibu ya namna hiyo...
(kwenye foleni mwisho)
S:we ndo wa mwisho kwenye line?
J: hapana mi ni wa kwanza tumesimama kinyumenyume
(kwenye basi mama amebeba mtoto)
S: mtoto wangu mzuri ee?
J: huyo ni mtoto?
(kwenye daladala, class, hotelini,cafe na maeneo kama hayo-siti iko wazi)
S:Kuna mtu hapa?
J: yeah, kuna mzimu wa bibi yako.
ongezea na maswali na majibu ya namna hiyo...