maswali na majibu ya wanawake wanapotongozwa....

toghocho

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
1,172
198
jamani mimi kitu kinanishangaza ni haya majibu ya wanawake wanapopigwa sound au kutongozwa, kwa mfano
mwanaume; mi nataka niwe na wewe
mwanamke; nina mtu.
mwanaume; kwa hiyo?
mwanamke; ndo hivyo..
mwanaume; kwahiyo hunipendi, hunitaki?
mwanamke; sio hivyo, nimekwambia nna mtu..
kinachonishangaza:hivi kwani kinachowaweka watu pamoja ni kwa sababu hawana watu au kwa sababu wanapendana?
kwanini wanawake hawako direct?
angalia na hii;
mwanaume; nakupenda sana, nataka niwe na wewe.(na maelezo mengine mengi kama kawaida)
mwanamke; mi siko tayari
mwanaume; hauko tayari vipi yani?
mwanamke; kuwa na mtu kwa sasa..
mwanaume; kwanini
mwanamke; sijisikii tu
mwanaume; kwahiyo pendo langu unalipotezea?
mwanamke; hapana, siko tayari tu, labda mbeleni huko
mwanaume; kama hunitaki sa hivi huko mbele ndo utanitaka?
mwanamke; sio kama sikutaki, sema tu sijapanga kuwa na mtu sa hivi, huko mbele si unajua hakuna ajuaye future!!
kinachinishangaza kwanini asiseme tu, sitaki sikupendi? afu kwani m2 huwa anapanga kuwa na m2 au anafall tu!!?
 
Akikwambia ana mtu anakua ana maanisha tayari anapenda na kupendwa kwingine!!!

Kuhusu hiyo ya kutohitaji mtu na kama mtu anapanga kupenda au anapenda tu inahitaji maelezo zaidi.Kwanza inawezekana kabisa kumpenda mtu na usiwe nae kwasababu ya mikakati uliyojiwekea...ukielewa hilo utagundua kwamba hapo tatizo sio kupenda au kutokupenda bali ni kile kitendo cha kua na mtu!Pili wewe unapomfuata msichana kumtongoza kwasababu wewe umempenda haina maana kwamba na yeye atakua amekupenda tayari hata kama atakukubalia maana kuna uwezekano hakufahamu kiundani!!Wat wengi wanapenda kiakili
zaidi.....ajue kwanza wewe sio mume wa mtu...una kagari...umesoma...sio mlevi n.k
ndo aachie moyo wake kua huru juu yako!!

Alafu unaposema kwanini mtu asijibu tu sikutaki au sikupendi kwani hayo maswali ya kwanini hunitaki hua yanatokana na nini.???Si mnaambiwaga hapana then mnaaza kutaka sababu....nazo mkishapewa mnataka kujua sababu ya sababu mpaka mtu anaboreka.Anzeni kuchukua HAIWEZEKANI kama haiwezekani na kusonga mbele muone kama kutakua na maneno mengi.Tatizo hapa ni kwamba wale wa no means yes wataachwa sana solemba!
 
Ewe ndugu; tafadhali sana, siku zote unapozungumza na mtu, hasa kuhusu maswala yanayoweza kugusa siri ilioko moyoni mwake, fahamu kuwa mara zote kila mtu huzungumza lugha mbili kwa pamoja; yaani "oral language" na "body language". Oral language is normally easy to be understood by the audience, but it also normally easy to deliver lies.... While body language mostly is very difficult to be understood by the audience, but under normal circumstances, nobody can lie through it, unless s/he has got strong preparations for....! Kwa hiyo mara nyingi mwanamke anapotokewa, hujikuta akizungumza lugha hizi zote kwa pamoja.... lakini yeye mwenyewe bila kujitambua hujikuta akizungumza vitu tofauti kabisa kati ya lugha moja na nyingine....! Kwa hiyo wewe unapaswa kuzungumza na "body language" na siyo "oral language".....! It is through "body language" you can catch a woman and understand her perfectly....! Please, read this between the lines... you may get some points sir/madam....!
 
wanaume ujanja wanapokuanza ila ukitaka mnyamazisha anapojiweka karibu na wewe mpe kavukavu na kwa gafla NAKUPENDA uone wanavyonywea.

Kuna mkaka bishoo mtaani kwetu akiniona anajificha manake nilimuumbua kwa kumpa hiyo mbele ya marafiki zake pindi nilipoona ananizengea.
Duh mara akawa domo zege nikashindilia kama nitakavyo
 
wanaume ujanja wanapokuanza ila ukitaka mnyamazisha anapojiweka karibu na wewe mpe kavukavu na kwa gafla NAKUPENDA uone wanavyonywea.

Kuna mkaka bishoo mtaani kwetu akiniona anajificha manake nilimuumbua kwa kumpa hiyo mbele ya marafiki zake pindi nilipoona ananizengea.
Duh mara akawa domo zege nikashindilia kama nitakavyo
We vipi umepotelea wapi na lile hitaji lako la mzungu? Mbona hujanijibu basi?
 
ze sred is dead and gone
Niliupoke ushauri wenu so nimefuta lile wazo
Okay, lakini nimetoka nje na A-town kidogo, Nitakaporudi nitaku-PM walau tufahamiane... hahaha... japo sio kwa maswala ya kizungu tena....
 
juzi imenikuta scenario kama hii......lakini kumbe alikuwa anamaniisha yes.......halafu huwa anavinga kweli mara aktaanza na kingereza chake hapo.......am am am, ..the thing is.....im not ready to b in r/ship....baadae ukikauka ukajifanya huna taimu nae utaoana anaanza kuja......inakuwa rahisi sana just like to push a drunkerd from a steep slope whose gradient is at infinity....unabeba mzigo na kutua ndani
 
Hawapo straight kwa vile na sisi wanaume mara nyingi hatuko straight.
 
juzi imenikuta scenario kama hii......lakini kumbe alikuwa anamaniisha yes.......halafu huwa anavinga kweli mara aktaanza na kingereza chake hapo.......am am am, ..the thing is.....im not ready to b in r/ship....baadae ukikauka ukajifanya huna taimu nae utaoana anaanza kuja.....

Hapo penye red ni kweli kabisa, hivi ni kwa nini ukishamweleza Binti lengo lako akakuzingua, ukimpotezea ndo inakuwa kama umempa kasi ya kujileta kwako? Wataalam hebu tujuzeni aisee....
 
Sijui ladies waliumbwa kwa formation ipi huwa sitongozaji kwa spidi namkuta mtoto naonyesha intention akishaelewa akesema sipo ready huwa sivungi nasepa kumbe smtime anakuwa anafeel attration ss sipendi drama utakuta miscall mara hi, maana hii game haina sense ladies Attraction has no choice if u feel smbdy funguka tu ile ya love is blind nowdays haipo kihivyo.
 
Code:
Sijui ladies waliumbwa kwa formation ipi huwa sitongozaji kwa spidi namkuta mtoto naonyesha intention akishaelewa akesema sipo ready huwa sivungi nasepa kumbe smtime anakuwa anafeel attration ss sipendi drama utakuta miscall mara hi, maana hii game haina sense ladies Attraction has no choice if u feel smbdy funguka tu ile ya love is blind nowdays haipo kihivyo.
umeona eeh, hawako strait, cha kushangaza ukimpotezea ndo anaanza ooh ulikuwa unanijaribu!!
 
Kutongoza ni kushawishi na wala sio kama unaenda kununua embe sokoni kwa kutarajia jawabu ya "zipo au hazipo". Ikiwa lengo lako ni "hit and run", ukiambiwa hapana maana yake ni hapana na hakuna jawabu mbadala. Ikiwa una lengo hilo, nafikiri maeneo ya kuwapata watu wa aina unayotaka yapo na kule hakuna maneni mengi. Lakini ikiwa una malengo ya muda mrefu basi ukubali kuwa mvumilivu na pengine king'ang'anizi katika mchezo wa "seek and hide". Hii itakupa muda wewe mwenyewe kujielewa kama kweli una nia na itampa muda mdada kukuelewa zaidi.

Kitu cha muhimu katika kutongoza ni kueleza lengo lako tangu mwanzo na kuwa mkweli.

Sishangai kuwa wadada hawako wawazi na kutamka mara moja (open & straight) kwa sababu na sisi wanaume hatuko hivyo. Mara nyingi huwa hatuwatendei haki dada zetu pale tunapowakabili kwa maneno matamu ya ushawishi yaliyojaa usanii na uongo tele kumbe tunataka kujiridhisha shida zetu kwa muda na baadae kupotea. Kigugumizi chao kinakusudia kukuelewa wewe ni mtu wa aina gani.
 
jamani mimi kitu kinanishangaza ni haya majibu ya wanawake wanapopigwa sound au kutongozwa, kwa mfano
mwanaume; mi nataka niwe na wewe
mwanamke; nina mtu.
mwanaume; kwa hiyo?
mwanamke; ndo hivyo..
mwanaume; kwahiyo hunipendi, hunitaki?
mwanamke; sio hivyo, nimekwambia nna mtu..
kinachonishangaza:hivi kwani kinachowaweka watu pamoja ni kwa sababu hawana watu au kwa sababu wanapendana?
kwanini wanawake hawako direct?
angalia na hii;
mwanaume; nakupenda sana, nataka niwe na wewe.(na maelezo mengine mengi kama kawaida)
mwanamke; mi siko tayari
mwanaume; hauko tayari vipi yani?
mwanamke; kuwa na mtu kwa sasa..
mwanaume; kwanini
mwanamke; sijisikii tu
mwanaume; kwahiyo pendo langu unalipotezea?
mwanamke; hapana, siko tayari tu, labda mbeleni huko
mwanaume; kama hunitaki sa hivi huko mbele ndo utanitaka?
mwanamke; sio kama sikutaki, sema tu sijapanga kuwa na mtu sa hivi, huko mbele si unajua hakuna ajuaye future!!
kinachinishangaza kwanini asiseme tu, sitaki sikupendi? afu kwani m2 huwa anapanga kuwa na m2 au anafall tu!!?


Please acha kutongoza wanawake wa aina moja..... Badilisha kidogo.. Na usi-generalise majibu ya woote yako hivyo...
 
Akikwambia ana mtu anakua ana maanisha tayari anapenda na kupendwa kwingine!!!

Kuhusu hiyo ya kutohitaji mtu na kama mtu anapanga kupenda au anapenda tu inahitaji maelezo zaidi.Kwanza inawezekana kabisa kumpenda mtu na usiwe nae kwasababu ya mikakati uliyojiwekea...ukielewa hilo utagundua kwamba hapo tatizo sio kupenda au kutokupenda bali ni kile kitendo cha kua na mtu!Pili wewe unapomfuata msichana kumtongoza kwasababu wewe umempenda haina maana kwamba na yeye atakua amekupenda tayari hata kama atakukubalia maana kuna uwezekano hakufahamu kiundani!!Wat wengi wanapenda kiakili
zaidi.....ajue kwanza wewe sio mume wa mtu...una kagari...umesoma...sio mlevi n.k
ndo aachie moyo wake kua huru juu yako!!

Alafu unaposema kwanini mtu asijibu tu sikutaki au sikupendi kwani hayo maswali ya kwanini hunitaki hua yanatokana na nini.???Si mnaambiwaga hapana then mnaaza kutaka sababu....nazo mkishapewa mnataka kujua sababu ya sababu mpaka mtu anaboreka.Anzeni kuchukua HAIWEZEKANI kama haiwezekani na kusonga mbele muone kama kutakua na maneno mengi.Tatizo hapa ni kwamba wale wa no means yes wataachwa sana solemba!

Una uhakika Lizzy? anaposema hivyo wengine wana maanisha wanakuregezea njia, tumekuwa tuna wapata wengi tu hata humu JF kwa njia hizo kwanza ngoja nianze na wewe baada ya kusahau hii thread kama utaweza kukataa, maana nimekudondokea sana.

Nimefanya deligence test Mpaka kwa wake za watu wanawake wa sasa hakupewa kukataa, labda husikomae ukikomaa hata mke wa mtu unagonga.
 
Una uhakika Lizzy? anaposema hivyo wengine wana maanisha wanakuregezea njia, tumekuwa tuna wapata wengi tu hata humu JF kwa njia hizo kwanza ngoja nianze na wewe baada ya kusahau hii thread kama utaweza kukataa, maana nimekudondokea sana.

Nimefanya deligence test Mpaka kwa wake za watu wanawake wa sasa hakupewa kukataa, labda husikomae ukikomaa hata mke wa mtu unagonga.

Nna uhakika sana....ila sio wote sasa!!

Mmmh unataka kunijaribu eehhhh???!Haya tuone hayo maneno unayowadanganyaga nayo hao unaosema hawana kukataa!!
 
Back
Top Bottom