Maswali na Majibu Bungeni 14 Juni 2011

Swali: Freeman Mbowe anaulizia kuhusu uendeshwaji wa Uwanja wa KIA na Wananchi wa Hai wanafaidikaje na uwepo wa uwanja huo katika wilaya ya HAI?

Naibu WAZIRI anajibu kuwa uwanja umekuwa ukiendeshwa na kampuni binafsi ambayo inapaswa kuboresha miundo mbinu na huduma muhimu ili kukuza huduma za usafiri ambao utaongeza tija katika utalii na kilimo cha mbogamboga na matunda

KADCO wameshatumia bilioni 8 kukarabati runway na mitambo mingine

Chanzo chao kikuu ni tozo la parking na huduma nyingine za kimapato katika uwanja huo kwa vyanzo vingine 12 ambavyo atavikabidhi kwa maandishi kwa Mbowe

Milioni 84 zimepelekwa Halmashauri ya Wilaya ya Hai kama faida ya kuwepo kwa uwanja huo katika wilaya ya HAI

Swali la Nyongeza

Mbowe: anahoji kuhusu tatizo la mkataba wa KIA
Serikali inatoa tamko gani kwani uwanja unakodishwa kwa dola 1000 kwa mwaka?
Katika majibu ya msingi ameliambia Bunge bilioni 6 zimetumikam kukarabati runway wakati serikali pia imetoa fedha nyingine na kandarasi kuukarabati uwanja huo?

Waziri hawezi kukiri kuwa kalidanganya Bunge?

Na lini mkataba huo utapitiwa upya
 
Wanasubiri tu walipwe posho zao wakanywe na kutuharibia dada zetu hapo dodoma
ooh! sorry, unajua hao dada zetu wanafanya ngono ili wapate kipato! unaonaje kama tutapitisha sheria ili kuhalalisha biashara ngono?
 
Jibu: KADCO inamilikiwa na serikali kwa asilimia 100 kwa sasa, ila kabla ya hapo KADCO ilikuwa inamilikiwa na wawekezaji kwa ubia kwa hiyo fedha hizo ni kutoaka serikalini na si kama inavyoonekana katika mchanganuo wa malipo mawili tofauti

Swali la Nyongeza

Ole sendeka: Serikali inachukua hatua gani kwa watumishi waliongia mkataba huo usiokuwa na tija kwa Taifa na kuliingizia Taifa hasara

Jibu:
 
Duh Waziri kapunch ati suala si kuangalia mkataba uliingizwaje bali ni kuangalia pailopkosewa kurekebisha na kuchapa mwendo

Hayaaaaa

Wizara ya Maji
 
Swali: Freeman Mbowe anaulizia kuhusu uendeshwaji wa Uwanja wa KIA na Wananchi wa Hai wanafaidikaje na uwepo wa uwanja huo katika wilaya ya HAI?Naibu WAZIRI anajibu kuwa uwanja umekuwa ukiendeshwa na kampuni binafsi ambayo inapaswa kuboresha miundo mbinu na huduma muhimu ili kukuza huduma za usafiri ambao utaongeza tija katika utalii na kilimo cha mbogamboga na matundaKADCO wameshatumia bilioni 8 kukarabati runway na mitambo minginewabanwe hao coz wanaiba mno!
 
Nchambi (Mombasa Raha Bus): swali lake limepita kama swali la msingi kuhusu ujenzi wa Reli...Zimesomwa figure tu ambazo kimsingi ni kubwa...Tunataegemea utekelezaji


Swali la Nyongeza: Reuben Kasembe...linakazia kuhusu mabadiliko ya bei za bidhaa ambazo ahazionyeshwi katika Bajeti


Naibu waziri: Aina ya Teknolojia na mkandarasi itadetermine kisai cha fedha na gharama nzima ya mradi...hapa kuna usaniii

anasema pia itakuwa vigumu kutegemea fedha za ndani kwa hiyo mfumo wa PPP utatumiaka kushirikisha wadau wengine
 
Duh Waziri kapunch ati suala si kuangalia mkataba uliingizwaje bali ni kuangalia pailopkosewa kurekebisha na kuchapa mwendoHayaaaaaWizara ya Maji
haa haaa! huo ni ujinga kwani chanzo cha mahusiano ya KIA na KADCO ni mkataba walioingia inakuwaje unaangalia matokeo bila kutazama mkataba unasamaje? naona dalili ya ufisadi hapo,,,keep on cdm!
 
Maji tena?????

Kuna mkanganyiko hapa unafanywa na moderator wa Bunge alidandia swali bila kuwa na hakika au itakuwa typing era katika mpango wa shughuli za Bunge kwa leo


Sasa ndio swali la Nchambi

Anauliza kuhusu upelekwaji wa Maji kutoka ziwa Viktoria kwenda Shinyanga katika vjijiji vya Mhunze na maganzo huko Kishapu


Kajibiwa: Mpango upo na unashughulikiwa
 
haa haaa! huo ni ujinga kwani chanzo cha mahusiano ya KIA na KADCO ni mkataba walioingia inakuwaje unaangalia matokeo bila kutazama mkataba unasamaje? naona dalili ya ufisadi hapo,,,keep on cdm!

Kazi ipo kwa kweli haya majibu mepesi sijui yatakoma lini wanajibu kama wapo katika kikao cha Familia, baba anajibu watoto aisee, japo wakati mwingine baba anaweza hata kumwaga data za ukata katika familia ili watoto waelewe hawa jamaa wapi
 
Suala la Maji bado tete mpaka huko peramiho kwa mahagama aliyetoka kuuliza swali ambalo pia linamkuna Spika ambaye anakiri kuwa hata jimbo kwake mambo magumu mno

Jibu: Tatizo ni mpango wa Fedha na mambo yote yanatazamwa na kushughulikiwa kwa vipaumbele

Swali la Sakaya sasa
 
haa haaa! huo ni ujinga kwani chanzo cha mahusiano ya KIA na KADCO ni mkataba walioingia inakuwaje unaangalia matokeo bila kutazama mkataba unasamaje? naona dalili ya ufisadi hapo,,,keep on cdm!
huo mwendo wa funika kombe mwanaharamu......Wakichunguza mkataba utakuja kubak mdomo waz mkuu! Ni mwendo wa kuweka plasta kwenye kuta zenye nyufa.
 
Moderator anaomba radhi si sakaya ni huko Kagera sasa katika suala la uzalishaji wa umeme kwa kupitia maporomoko ya maji ambayo ni common huko kagera

Nahisi mpango wa kazi kidogo una hitilafu za uchapaji leo kama nilivyohisi awali
 
Jibu: KADCO inamilikiwa na serikali kwa asilimia 100 kwa sasa, ila kabla ya hapo KADCO ilikuwa inamilikiwa na wawekezaji kwa ubia kwa hiyo fedha hizo ni kutoaka serikalini na si kama inavyoonekana katika mchanganuo wa malipo mawili tofautiSwali la Nyongeza Ole sendeka: Serikali inachukua hatua gani kwa watumishi waliongia mkataba huo usiokuwa na tija kwa Taifa na kuliingizia Taifa hasaraJibu:
Jamani sirikali mtuhurumie japo kdgo mbona ufsd kila mahali!
 
huo mwendo wa funika kombe mwanaharamu......Wakichunguza mkataba utakuja kubak mdomo waz mkuu! Ni mwendo wa kuweka plasta kwenye kuta zenye nyufa.

Wanajua kinachoendelea hapo ila kitaeleweka tu kwa kasi hii
 
Sakaya sasa

Ati Spika anamchombeza kuwa amefurahi kumuona...Duuuh unafiki huuu
 
Kazi ipo kwa kweli haya majibu mepesi sijui yatakoma lini wanajibu kama wapo katika kikao cha Familia, baba anajibu watoto aisee, japo wakati mwingine baba anaweza hata kumwaga data za ukata katika familia ili watoto waelewe hawa jamaa wapi
haswa ila janja hiyo itakoma siku moja,suala la mikataba mibovu hututesa sana watz kwa sababu ya few pple,anyways we thank GOD kuna wabunge wanatutea.
 
Anauliza katika visima 12 alivyopew mkandarasi huko urambo ni Vitatu vilionekana kuwa na Maji

Naibu Waziri abakiri hilo na kueleza kuwa Tatizo ni usanifu na kweli maeneo mengi ya Mkoa wa Tabora hauna Maji na kwamba Wizara itatuma wataalam tena kubaini hilo. HILI LILIWEZEKANAJE KATIKA HATUA YA AWALI

Haelezi fedha hizo zilizochimba visima ambavyo havina maji itakuwaje?

Rage; anapendekeza yachimbwe mabwawa

Naibu Waziri: Anasema Halmashauri zenyewe ziamuwe wanataka kipi kiwe chanzo cha Maji, bwawa au Kisima ila suluhisho pekee endapo bajeti itapitishwa ni kupata Maji kutoka ziwa Victoria
 
Suala la Maji bado tete mpaka huko peramiho kwa mahagama aliyetoka kuuliza swali ambalo pia linamkuna Spika ambaye anakiri kuwa hata jimbo kwake mambo magumu mnoJibu: Tatizo ni mpango wa Fedha na mambo yote yanatazamwa na kushughulikiwa kwa vipaumbeleSwali la Sakaya sasa
hizo pesa wanataka magunia mangapi maana kuna billions kbao zinaliwa na mafsd? huko nyumba hii bomba hii, ndio kwa umaskini usipime,pple wamechoka hadi huruma!
 
Back
Top Bottom