Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Kwa kuwa wewe ni Kiongozi wa Juu katika nchi hii, na kwakuwa wewe si Kiongozi wa Juu kabisa ktk nchi, na kwakuwa wewe kwa kutumia madaraka na mamlaka uliyopewa ulishindwa kuuzuia mgomo wa Madaktari wa awamu ya kwanza na ya pili, hadi Kiongozi wa Juu kabisa alipoingilia kati, na kwakuwa unajua maendeleo ya mazungumzo kati ya Kamati ya Madaktari kwa upande mmoja na Serikali upande wa pili:
1. Mara ya mwisho kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Dr S. Ulimboka ilikuwa lini?
2. Mara ya mwisho kuzungumza na Dr Ulimboka kabla ya kutekwa ilikuwa lini na saa ngapi?
3. Unakumbuka ni siku gani katika mazungumzo na simu na Dr Ulimboka umewahi kutumia neno "chonde chonde"? Ulikuwa unamsihi afanye nini?
4. Unafahamu nembo na muhuri katika document ambayo watesaji waliyokuwa wanamwonyesha Dr Ulimboka asaini ni vya nani?
5. Unafikiri ni kwanini ulisema wewe "si muumini wa Mungu bali ni muumini wa dini"? Ufafanuzi wa kina.
Nitarudi kukuulizamaswali mengine kabla sijaenda kwa Abdiel/Abedi/Ayoub.
1. Mara ya mwisho kufanya mazungumzo ya ana kwa ana na Dr S. Ulimboka ilikuwa lini?
2. Mara ya mwisho kuzungumza na Dr Ulimboka kabla ya kutekwa ilikuwa lini na saa ngapi?
3. Unakumbuka ni siku gani katika mazungumzo na simu na Dr Ulimboka umewahi kutumia neno "chonde chonde"? Ulikuwa unamsihi afanye nini?
4. Unafahamu nembo na muhuri katika document ambayo watesaji waliyokuwa wanamwonyesha Dr Ulimboka asaini ni vya nani?
5. Unafikiri ni kwanini ulisema wewe "si muumini wa Mungu bali ni muumini wa dini"? Ufafanuzi wa kina.
Nitarudi kukuulizamaswali mengine kabla sijaenda kwa Abdiel/Abedi/Ayoub.