Maswali muhimu kwa JK baada ya kujivua gamba!

Hawa mabwana ni wasanii tu...kama wanatambua kuwa baadhi yao sio safi kimaadili kuna haja gani ya kuwalealea?Si wawatimue tuu...Tena waanze na Jk!
 
Hii ni Plastic surgery ambayo Ccm na Mwenyekiti wao wameifanya.Hakuna kitu kibaya na kitakachoendelea kuwagharimu kama kulindana.Hilo tamko la kwamba wale watuhumiwa wa Ufisadi waliondani ya Chama wajiondoe kwenye wenyewe au watimuliwe kwenye uongozi wa chama kama watagoma,huo ni upuuzi wa hali ya juu ambao Jk na Ccm wanaufanya,kwanini wanaogopana,hii inamaanisha nini na kuleta picha gani kwa Watanzania,kwamba siyo wasafi thats why wanashindwa kuwajibishana mpaka waotoe matamko ya kuogopana na kulindana?.Mimi nilifikiri watashtakiwa na kuondolewa chamani,kumbe wanaendelea kupeta na kutamba mtaani na utajiri wa kuiba na kupora mali ya Umma!.Hiyo ni aibu kubwa kwa Jk na Ccm mbele ya Macho ya watanzania wa sasa,achana na Watanzania wa kipindi cha Nyerere ambao walikuwa watu wa Zidumu Fikra za Mwenyekiti na hewala bwana.
 
Oh! My God.... Hapo hakuna muujiza, wala sishangai, wao wanajua wameajiliwa na serikali iliyo madarakani, hivyo wapo kuitetea kama chombo cha habari, najua yote haya ni kwasababu ya katiba, haijaweka bayana mipaka na kazi ya chombo kama hicho, huenda wamehofu kufuatia kilichotokea kwa mkurungenzi wao mkuu alipotumikisha TBC1 TV kama chombo cha umma. Hatumuoni tena, kwahili nategemea vyombo vimgine ndo kama vilifikia taarifa hizo vitaripoti vizuri. TARATIBU NI MWENDO ILA LAZIMA UCHELEWE KUFIKA.
 
Pamoja na mtoa mada hii kusema Chiligati amejieleza vizuri mimi sikumuelewa; anavyosema wajipime na kujitoa, hivi anamanisha kujitoa wapi, katika uanachama au katika vikao vya maamuzi ambapo wao ni wajumbe?
 
dahh umenifuraisha sana mkuu...dawea ni ku format hard drive..mi naona ni kubadilisha hata hard drive yenyewe
Ehe! Ndio
Tutaibadilisha sisi na kuipondaponda
Imejaa virusi vinene vinene na vina magamba magumu magumu hata kubonyea hayabonyei lo!
 
Akihojiwa na television ya TBC leo kuhusu kuchaguliwa kwake kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM, Wilson Mukama amesema amefurahi na kushukuru sana kuaminiwa kuongoza "jahazi" la CCM.

Mwandishi akamuuliza, "lakini jahazi hili linasemwa lina nyufa, migawanyiko, makundi, n.k." unaliongeleaje?

Jamaa akajibu "tatizo ni Kiswahili, lakini kwa Kiingereza wanaita ``conflict,`` na conflict siku zote sio unhealthy, conflict ni healthy kwa chama.``

Maoni yangu: Jamaa atapata tabu sana kama msemaji wa chama, hana skills za mawasiliano hata kidogo.
Watu wanaongelea tatizo la makundi ndani ya chama yeye anasema ni poa!

Halafu neno ``conflict`` kajifanya halijui kwa Kiswahili utadhani wanachama wa CCM wote wanaongea kizungu.
 
Akihojiwa na television ya TBC leo kuhusu kuchaguliwa kwake kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM, Wilson Mukama amesema amefurahi na kushukuru sana kuaminiwa kuongoza "jahazi" la CCM.

Mwandishi akamuuliza, "lakini jahazi hili linasemwa lina nyufa, migawanyiko, makundi, n.k." unaliongeleaje?

Jamaa akajibu "tatizo ni Kiswahili, lakini kwa Kiingereza wanaita ``conflict,`` na conflict siku zote sio unhealthy, conflict ni healthy kwa chama.``

Maoni yangu: Jamaa atapata tabu sana kama msemaji wa chama, hana skills za mawasiliano hata kidogo.
Watu wanaongelea tatizo la makundi ndani ya chama yeye anasema ni poa!

Halafu neno ``conflict`` kajifanya halijui kwa Kiswahili utadhani wanachama wa CCM wote wanaongea kizungu.

Hahahaa bonge la gaffe hilo. Bahati yake hatuna journalists with a take-no-prisoners style la sivyo angezunguka kwenye kwenye vyombo vyote vya habari kufafanua kauli yake.

Upinzani wenyewe upo upo na nitashangaa kama watamtwanga kwa hiyo kauli yake. Oh well...
 
Akihojiwa na television ya TBC leo kuhusu kuchaguliwa kwake kuwa Katibu Mkuu mpya wa CCM, Wilson Mukama amesema amefurahi na kushukuru sana kuaminiwa kuongoza "jahazi" la CCM.

Mwandishi akamuuliza, "lakini jahazi hili linasemwa lina nyufa, migawanyiko, makundi, n.k." unaliongeleaje?

Jamaa akajibu [B]"tatizo ni Kiswahili, lakini kwa Kiingereza wanaita ``conflict,`` na conflict siku zote sio unhealthy, conflict ni healthy kwa chama.``
[/B]

Maoni yangu: Jamaa atapata tabu sana kama msemaji wa chama, hana skills za mawasiliano hata kidogo.
Watu wanaongelea tatizo la makundi ndani ya chama yeye anasema ni poa!

Halafu neno ``conflict`` kajifanya halijui kwa Kiswahili utadhani wanachama wa CCM wote wanaongea kizungu.

Mhhhh! Kishabwabwaja! Sasa kama siku zote conflict sio unhealthy si wangemuacha Makamba tu aendelee!? Bado wana safari ndefu sana ya kukisafisha chama chao na kwa haya mabadiliko waliyoyafanya juzi bado hakuna mabadiliko yoyote ya maana.
 
Mhhhh! Kishabwabwaja! Sasa kama siku zote conflict sio unhealthy si wangemuacha Makamba tu aendelee!? Bado wana safari ndefu sana ya kukisafisha chama chao na kwa haya mabadiliko waliyoyafanya juzi bado hakuna mabadiliko yoyote ya maana.

Labda tumeichukulia nje ya context.....
 
tbc imeshapoteza mvuto, mie nshaacha kuishabikia hatakuitazama huwa ni kwa bahati-mbaya tu...
 
yaani hili ndo boga kabisa...yaani conflict ni health? ana maana migogoro ni mizuri katika chama??au nimeelewa vibaya
 
He meant that having diversity of perspective ni vizuri ndani ya chama, mawazo mbali mbali ni mazuri sio chama kinakuwa unitary katika mawazo...hayo mambo ya ki communist hayafai. Lakini lazima wawe na umoja katika utekelezaji wa maamuzi na sera...angesema hivyo...
 
Habari ya Moringe imepewa nafasi kidogo sana......................
 
Back
Top Bottom