Maswali muhimu kwa JK baada ya kujivua gamba!

Tuliambiwa CCM itajivua gamba na jana ndio tumeambiwa wamejivua hilo gamba!
Naomba niwaulize wataalamu wa sayansi za wanyama ,
kama mfano huu ilivyo je CCMitakuwaje baada ya kujivua gamba ,
Mfano wa kujivua gamba ni kama afanyavyo nyoka je akijivua gamba huwa nabadilikaje au anabakikuwanyoka tu


Anakuwa joka mpya tena hatari kuliko kabla.
 
It is too early to make a conclusion.let us wait and see if the envisaged reforms will be really pragmatic or just empty political slogans which has always been politics of the day here in tanzania.
You don't sit and wait to see, just embark and engage on your personal endeavors! CCM don't want to bother find both proximate and ultimate cause of national backwardness! I harbor no illusions that they are serious in uttering these futile slogans!
 
Kweli hili tamko litawavua nguo hata na hao wanaoshangilia. Wanaweza jikuta nusu ya NEC yao inatakiwa kujiondoa. Hivi na wale walioghushi vyeti vya Elimu. NEC inasemaje?
 
Asituletee ya kuja hapa!! Yeye mwenyewe kisha husishwa mbona sasa haachii ngazi?? Sijui wana maana gani wanaposema waachie ngazi, kwenye uongozi au kwenye chama. Watufafanulie hili ili tuanze kuhesabu siku!!
 
CCM imeteua NEC mpya. Kama chombo kipya, NEC imeona waseme jambo. Na hili limekuja bila maandalizi. Kwa maoni yangu tamko limetolewa kishabiki. Wamesahau kuangalia composition ya NEC na Mwenyekiti wao. Tamko halikuhaririwa, au kwa lugha nyepesi hakukuwa na Critique review.
CCM bado inahitaji kufanya ziada. Imani ya WaTZ haivunwi kirahisi hivi.
 
Mkuu,
CCM hawajivua gamba/magamba ya mwili mzima. Wamejivua gamba la kasehemu ka mwili. Pengine ni shingoni au kichwani.
Sasa, kujivua huku gamba kunaitwa kujichubua. Nyoka akiisha jichubua haji tena kujivua gamba mwili wote. Na huo mchubuko humwandalia/humpelekea kifo cha haraka.
 
Kwa nini baada ya siku 90 wakati watu wanajulikana?kwa nini isiwe sasa?bila shaka kuna mambo magumu,either tamko halitekelezeki au wanapitisha mda na mwanaharamu wake.
 
Tanzania bwana. Badala ya kuwa fikisha kwenye vyombo husika mafisadi kisha muwa fukuze kwenye chama na kuwa fungulia mashtaka nyie mna wapa muda wajitoe wenyewe? Kama mna wajua kwa nini msiwashughullikie moja kwa moja? Ndiyo yale yale ya wezi wa EPA kupewa muda kurudisha pesa.
 
hapana nyoka anakawaida 2 ya kujivua ila usitegemee abaki bila ngozi sasa ndo haya ya makamba na mwanae ivi tanzania hi ya mrisho na wenzake adi lini jamani me naona 2sipoteze wakati panapo bidi twende . unajua walioingia msituni hawakukosea?
 
hapana nyoka anakawaida 2 ya kujivua ila usitegemee abaki bila ngozi sasa ndo haya ya makamba na mwanae ivi tanzania hi ya mrisho na wenzake adi lini jamani me naona 2sipoteze wakati panapo bidi twende . unajua walioingia msituni hawakukosea?
 
CC na NEC iliyopita imekula, na kushiba na kuvimbiwa. Ni gamba lililochoka.
Ni nafasi ya wengine na ngozi mpya isiyobana hata ukishibaje kukamata jiko.
 
..Mzee Makamba hakutajwa popote kwamba ameshiriki kwa namna yoyote ile kupelekea serikali kusaini mikataba inayoihujumu nchi.

..mara ya mwisho nilisikia tu ana kamgahawa kadogo ka kuuza chai kituo cha mabasi ya kwenda mikoani.

..kwa upande mwingine Kikwete amehusika mikataba mibovu tangu IPTL,mpaka huu mkataba wa majuzi wa Dowans.

..Kikwete pia ameendelea kuwakumbatia mafisadi na kudharau mawazo na hisia za wananchi kwa kuwapigia kampeni mafisadi kama Mramba, na Chenge.

..Kikwete pia amewahi kusema anawajua wauza madawa ya kulevya na wakwepa kodi wakubwa, na aliahidi kuwashughulikia. mpaka leo hakuna hatua zozote alizochukua.

..hayo ni machache tu kati ya orodha ndefu ya mapungufu ya kiuongozi,kiutendaji,na kimaadili, aliyonayo Kikwete.

..kwa mtizamo wangu CCM imetibu dalili, na siyo maradhi.Mzee Makamba ameonewa tu, anayeiharibia CCM ni Kikwete
 


Tue Apr 12, 2011 8:34am GMT


* President Kikwete pledges to reform party
* Kikwete must step down in 2015


DAR ES SALAAM, April 12 (Reuters) - The leadership of Tanzania's ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party has resigned and has been replaced by fresh faces amid wrangling among senior politicians in a race to succeed President Jakaya Kikwete.
Late on Monday CCM appointed new members of the central committee, the highest authority within the party, and picked a new secretary general and secretariat, which is responsible for operations and day-to-day running of the party.

Kikwete, who won re-election in an Oct. 2010 vote marred by a record low turnout and allegations of rigging, kept his job as CCM's national chairman.

"After a frank assessment of the 2010 general election, it is evident that we need to undertake major reforms in our party," Kikwete told members of the party's national executive committee late on Monday.

"Lack of ethics, especially among the party's leadership, is among the things that have eroded CCM's appeal to voters."

Rising corruption, poverty and unemployment in Tanzania have dealt a blow to the ruling party's popularity, helping the opposition Chama Cha Demokrasia and Maendeleo (Party for Democracy and Development, or Chadema) party to make major gains in the 2010 general election especially among young voters.

Several senior CCM leaders have been facing graft allegations, with the government coming under strong criticism from donors, activists and opposition leaders for failing to tackle large-scale corruption.

Kikwete, who must step down in 2015, has pledged to reform the ruling party as it struggles with its deep divisions. (Reporting by Fumbuka Ng'wanakilala; Editing by George Obulutsa)
 
Back
Top Bottom