Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,395
- 92,722
Mimi nikiulizwa uko wapi jibu langu niko barabarani, Finish.
Ni mbinu kama ana lidume anajiweka katika mazingira ya kulitoa au yeye kutoka eneo husika
Hakuna mwanaume rijari anayefurahiaga hayo maswali..labda uwe na tabia za kike....inaonekana we ndo unaechukia coz co mwaminifu,wengne hupenda coz hujua nd mapnz y kwl y kumjal mwenz wako,sasa km we unachukiaga ucjumuishe n wanaume wote.
Hakuna mwanaume rijari anayefurahiaga hayo maswali..labda uwe na tabia za kike....
I hate those questions plus kupigiwapigiwa simu na msg kila dk...
Mke akikutext unakereka hawara utamtext umekula umekunywa maji n.k
kutokana na kukua kwa teknolojia kuwasiliana siku hizi imekuwa rahisi zaidi kuliko ilivyokuwa zamani. Teknolojia pia imeleta vitu vingine ambavyo vimepata ushabiki hapa bongo kama vile ligi kuu ya Uingereza. Kwa kutumia simu wapenzi au wanandoa imekuwa ni rahisi sana kuwasiliana.
Lakini kwa kuwasiliana huko kuna maswali ambayo wanawake huwauliza wenza wao ambayo kwa kweli huwakera wanaume wengi sana. Utakuta mwanamke anapiga simu mwenzie akipokea tu kabla ya kusema anachotaka kusema anaanza kwa swali "uko wapi?" mara nyingi kwa sauti ya kipolisi. Jamaa akijibu alipo linafuata swali la pili "unafanya nini?"
Ki ukweli kabisa haya maswali na jinsi yanavyoulizwa mara nyingi huwakoroga wanaume. Kama wewe ni mwanamke umeshawahi kumuuliza mpenzi wako maswali haya. Na kama wewe ni mwanaume umeshawahi kuulizwa maswali haya na huwa unajisikiaje?
msisingizie maendeleo na simu bure.
unajua ukiingia kwenye relationship kuna vitu ambavyo inabisi ukubali kuwa ni sehemu ya maisha ya kuwa wawili nalo hili la kumjulisha mwenzio upo wapi na utakuwa unafanya nini huko unapokwenda ni moja wapo.
wewe kama utampa taharifa mwenzio na kweli ukawa unasema ukweli itafika sehemu mwenzi wako hatakuwa na shaka la kukupigia simu akuulize ulize upo wapi na unafanya nini......ukishaingia kwenye relation basi ni lazima umjulishe mwenzi mipango yako ya nini kumuweka mwenzio roho juu juu?