bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,697
- 4,107
Ndugu watanzania wenzangu,
Asubuhi nimefuatilia Vyombo vya habari na kuona shughuli mbalimbali za ufanywaji wa usafi Dar es salaam na mikoani zikiendelea huku viongozi mbalimbali wa nchi waendelea na kuungana na wananchi katika shughuli hizo.
Maswali yangu kuhusiana na sherehe hizi za uzalendo hasa kwa jiji la Dar es Salaam...
1. Kutokana na jiji hili kuwa chafu kila kona kutokana na usimamizi mbovu wa viongozi wa chini mpaka juu, tumeshuhudia mirundikano ya kila aina ya uchafu mitaani lakini leo tumejitokeza kufanya usafi. Je, huo uchafu tunaoufanya utaenda kumwagwa wapi? Nauliza hivi ni baada ya kuona watu wakifanya usafi na kurundika kwenye madampo yasiyo rasmi.
Je, baada ya kufanya usafi leo, serikali imeweka sheria gani kuwa kwa yeyote atakayechafua baada ya usafi kufanyika leo kuchukuliwa hatua zozote.
TUACHENI SIASA NA MAIGIZO WATANZANIA WENZANGU
Watu wanapiga mapicha na kutumia kwenye mitandao eti nao waonekane wamefanya usafi looooh!! UPUMBAVU MTUPU.
Asubuhi nimefuatilia Vyombo vya habari na kuona shughuli mbalimbali za ufanywaji wa usafi Dar es salaam na mikoani zikiendelea huku viongozi mbalimbali wa nchi waendelea na kuungana na wananchi katika shughuli hizo.
Maswali yangu kuhusiana na sherehe hizi za uzalendo hasa kwa jiji la Dar es Salaam...
1. Kutokana na jiji hili kuwa chafu kila kona kutokana na usimamizi mbovu wa viongozi wa chini mpaka juu, tumeshuhudia mirundikano ya kila aina ya uchafu mitaani lakini leo tumejitokeza kufanya usafi. Je, huo uchafu tunaoufanya utaenda kumwagwa wapi? Nauliza hivi ni baada ya kuona watu wakifanya usafi na kurundika kwenye madampo yasiyo rasmi.
Je, baada ya kufanya usafi leo, serikali imeweka sheria gani kuwa kwa yeyote atakayechafua baada ya usafi kufanyika leo kuchukuliwa hatua zozote.
TUACHENI SIASA NA MAIGIZO WATANZANIA WENZANGU
Watu wanapiga mapicha na kutumia kwenye mitandao eti nao waonekane wamefanya usafi looooh!! UPUMBAVU MTUPU.