Maswali magumu kwa hussein bashe kuhusu kifo cha mwakiteleko.

You are absolutely correct mkuu. Japokuwa hatuwezi wala hatupaswi kuhukumu, lakini ni ukweli ulio wazi kuwa Dany alimtumikia RA kwa moyo na akili yake yote.Hata katika mazingira mengine alikiuka maadili ya kazi yake ili kumfurahisha his master (RA). Kwa kushirikiana na Bashe pamoja na Manyerere Jackton waliyafanya magazeti ya RAI na MTANZANIA kupoteza hadhi kabisa mbele ya wanajamii (hasa wasomi).Binafsi nimewahi kuingia nao kwenye mgogoro baada ya kuhoji issue fulani, waliyotoa kwenye Mtanzamia (December last year) bila kuwa na ushahidi.Katika taarifa ile hakukuwa na objectivity wala fairness maana tuhuma zilitolewa bila kufanya attribution kwa mtuhumiwa.Nilipompigia Jacton alishindwa kudhibitisha but after some minutes wakanitext kuwa natumiwa na CHADEMA.Nilishangaa kuwa wao wanaotumiwa na RA hawajioni, wanabaki kugase wengine. Nikajaribu kuwaelewesha kuwa im arguing on proffesionalism b'se i also posses degree of the same proffesion but hawakunielewa tukaishia kulumbana.So it is true kuwa Dany na wenzake walimtumikia RA for their all energy hata wakati mwingine kupindisha ukweli. Hatupaswi kuhukumu but to be honest Dany alipaswa kuiomba jamii radhi kabla hajatwaliwa ktk haya mavumbi.Sina hakika kama alitubu kwa Mungu wake, lakini nina hakika hakutubu kwa WATANZANIA. Nasikitika amekufa na deni hilo. Eeeh Mungu mrehemu Daniel Mwakiteleko apumzike kwa amani.
Umenkumbusha mbali sana juu ya Jackton...niliwah kujbzana nae kwa sms kuhusu kutumiwa kwake..alintkana sana,lakn bas 2sibadlishe mada..Mwenyez Mungu ni Mwing wa Rehema s mwing wa hasira!
 
We upo sawa kweli?
ARAFAT unanifanya nitilie mashaka uwezo wako wa kufikiri. Unasema kuwa kama niko SERIOUS nimwandikie barua Bashe then copy ndio niilete hapa JF. Kwa hiyo unamaanisha kuweka mambo JE peke yake ni kufanya mzaha. Labda kutokana na upeo wako mdogo huelewi kuwa JF ni social network inayopendwa na kuaminika zaidi (especially to the rational people) si hapa nchini tu bali hata nje. Watu wengi sana ni member wa JF though wanaweza kuwa na ID tofauti kama ilivyo kwako wewe. Hivyo si ajabu kuwa hata Bashe ni member wa JF na ujumbe ataupata. Si lazima kumwandikia BASHE ndo uonekane uko serious. Huo ni UTAPIAMLO WA FIKRA. Waandishi wengi hutumia njia yoyote inayofikika kwa haraka kufikisha ujumbe. Ngugi wa Thiongo alipotaka kuikosoa serikali ya Kenya hakuwa na sababu ya KUMWANDIKIA BARUA Rais MOI eti ili aonekane yuko SERIOUS. Bali aliweka ujumbe wake kwenye kazi za fasihi (ambazo ni nadra kusomwa na viongozi wa serikali). Wengi wa waliosoma kazi hizo hawakuwa walengwa, maana walikuwa wanafunzi na wakufunzi wa vyuo na waalimu. Lakini ujumbe ukafika. Serikali (dhalimu) ikachomwa. Ikaanza kutafuta mbinu ya kuharibu kazi zile. Lakini wakawa wamechelewa maana zilishasambaa hata nje ya Kenya. Wakataka kumuua Ngugi hata hivyo akakimbilia uhamishoni.Story ya Ngugi ni ushahidi tosha kuwa si lazima tandike BARUA unapotaka kufikisha ujumbe eti hli uonekane uko SFRIOUR. Acha FIKRA CHAKAVU ndugu yangu.Waulize waandishi wakongwe na wenye heshima kwenye jamii kama NDIMARA TEGAMBAGWE au MWANAKIJIJI watakueleza haya nayosema. Kwenye toleo la MWANAHALISI la 3/03/2010 Ezekiel Kamwaga aliandika makala kuonesha kutokubaliana na taarifa ya SYNOVATE kuhusu matokeo ya utafiti wao kwny urais. Kichwa cha article kilikuwa "KWANINI SIKUBALIANI NA SYNOVATE".Kamwaga hakuhitaji kuwaandikia SYNOVATE barua eti ili aonekane yuko SERIOUS.Alitumia kalamu yake kwenye chombo cha umma na Ujumbe ule uliwafikia SYNOVATE, na wakajibu baadhi ya hoja kupitia magazeti mengine yakiwemo ya RA.
 
Achana huyu Arafat wa kuchonga,
kwanza anakuambia ''hapa ulipoiweka sio sawa,
Mwambie aishike yeye basi, kisha aiweke anapoona yeye ndio sawa, si anaiona?''
Kwanza ni utovu wa nidhamu kwa wanajamii, hwa taarifa yako hapa kuna mawazo mazuri tu kuliko huko unakotaka aipeleke.
Hujawahi kuona ''Barua ya Wazi kwa Raisi'' wewe?
Bashe amekua nani mpaka asitumiwe ujumbe kwenye open forum?
wacha kua na fikra mgando wewe, tafuta pilipili, limao chungu, aspirin na kingine chochote unachokiona wewe ni kichungu, saga pamoja ubugie, vitakusaidia kuchangamsha akili na ubongo wako ulioganda.
 
Shark,
you have very briliant argument. Nashukuru kwa kumfumbua macho ARAFAT maana inavyoonekana hajui maana ya mitandao ya kijamii (social Networks) kama JF. Nashukuru sana kwa kuonesha UTAPIAMLO WA FIKRA alionao ARAFAT.

Anadhani mambo serious yanakaa kwny barua tu. Anasahau kuwa JF kunaweza kuwa na mambo makini kuliko barua (za kipuuzi) anazoandikiwa JK na wake zake.

Kama Viongozi wakuu wa nchi wanaandikiwa barua za wazi, au wanahojiwa kwenye open forums Bashe ni nani asihojiwe??

ARAFAT acha MAWAZO MGANDO na FIKRA CHAKAVU.
 
We upo sawa kweli?
Wewe ndio unaweza usiwe sawa, kwa kuwa you seem to be so primitive. Hujulikani unahoji, unauliza, unatoa maoni, au unatoa hoja.This is HOME OF GREAT THINKERRS. If you see unfit, it's better you quit.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom