Elections 2010 Maswali Magumu: Kikwete wa mtandao kageukia familia?

2005 ilikuwa ni Mtandao, Rostam, Lowassa, Sitta, Makinda na jamaa kibao wakipiga ngoma na kupuliza tarumbeta la Ari, Kasi na Nguvu mpya.

Mwaka huu ni familia, Chifu Ridhiwani na Mama Salam ndio wanachanja mbuga kila kona kupiga kampeni ya Urais.

What happened kwa mtandao wa kina Janguo, Mudhihir, Msabaha, Chenge, Apson na wengine waliotuletea chaguo la Mungu?

Kumetokea nini mwaka huu, mfalme anatembea pekee na kuonekana mnyonge na haamini mtu mpaka awekewe kinga ya giza na Sheikh Yahya?

Mwaka huu yupo meneja wa kampeini Bepari Kinana raia wa Somalia aliyezamia TZ,
Pia ameacha mtandao kidogo ili kupunguza maneno na ame-advance anatumia helikopta tatu na kila moja milioni tano kwa saa kwwa kuruka pia familia inamsaidiam. Kimsingi ana uhakika wa kushinda kwa asilimia 75. Ame-bore tu kuwapigia kampeni watu ambao serikali yake inawatuhumu kwa rushwa kama Basil pesambili mramba
 
Angekuwa na nia ya kusafisha nyumba asingekubali watuhumiwa wa ufisadi au watu walio na kesi mahakamani wapitishwe. JK ni mateka wa mafisadi na hawezi kujinasua kutoka kwenye mikono yao. Anachofanya sasa ni kutojionyesha kwamba yuko very close na kundi fulani la wana CCM au wana mtandao. Lakini walio makini wanaona kila kitu.
Keil,
Usipoteze muda wako na hii njemba. Nimependa analysis yako ya mtandao. Big up.
 
Mtandao bado upo unafanya mambo chini kwa chini wakisubiri ushindi wa kishindo na kama wataupata wataibuka rasmi kutoka mafichoni. Msidhani kutoonekana kwao ni kutokana na Kikwete kuwatupa.
 
JK is clean and will prevail.
His current situation is very similar to that of Obama in November, but after all being said and done, JK will triumph and prevail.
That is the sign he'll be cleaning the whole house big time! New fellas, new blood, and fresh start.
Tanzania will prosper

November?? Which year????

Actually, his situation is critical, it's like someone awaiting for ambulance to take him to the ICU. Only people like you who cannot see it!!!!

Anyway, if beleave is seeing, then you will see it on the 31st October 2010.
 
Mtandao upo tena hai.Actually,unaonekana lakini pengine tuko bize zaidi na Kikwete kiasi kwamba inatuwiq vigumu kuwaona wanamtandao wengine.Rostam yupo,kwani hamjui kuwa Muhingo Rweyemamu ni kibaraka na mwajiriwa wa Rostam na sasa ndiye mratibu kwa kampeni za Kikwete?Je hamsomi magazeti ya Rostam yanavyohangaika kumnadi KIkwete na "kummwagia sumu" Dkt Slaa?Je hamkusikia kuwa Kikwete alikwenda Monduli kumpa tafu fisadi mwenzi Lowassa?Je Kinana si bado anashikilia nafasi aliyoshikilia 2005?

Kama ilivyokuwa 2005,mafioso waitwao wanamtandao hawakuwahi kutambulishwa kwa majina.Tumewatambua kwa matendo yao tena baada ya Kikwete kuingia madarakani.Hawajawahi kukiri au kukanusha uanamtandao wao.

Kinachoweza kutufanya tudhani mtandao umekufa au JK kasusiwa is actually mbinu inayotumika kuficha udhaifu wa JK kama kiongozi hasa kwa vile miaka yake mitano ya urais imetawaliwa na ishu ya ufisadi,sasa hao tunaowaita wanamtandao wa 2005 ambao kwa hakika ndio mafisadi wa 2005-2010 inawalazimu watoe sapoti yao behind the scene.Mtandao upo,na as it disorganised as it might be unaweza kumrejesha tena madarakani mtumwa wao Kikwete.Ni kwa ajili ya survival ya kundi hilo dhalimu.By the way,Marando ameshataja kuwa helikopta za Kikwete zinafadhiliwa na fisadi mmoja.
 
Go dr. Slaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa go to ikuluuuuuuuuuuuuu..............ukarekebishe mamboooooooooo
 
Angekuwa na nia ya kusafisha nyumba asingekubali watuhumiwa wa ufisadi au watu walio na kesi mahakamani wapitishwe. JK ni mateka wa mafisadi na hawezi kujinasua kutoka kwenye mikono yao. Anachofanya sasa ni kutojionyesha kwamba yuko very close na kundi fulani la wana CCM au wana mtandao. Lakini walio makini wanaona kila kitu.

Give him another chance and he'll clean the entire house!
 
sasa hivi mtandao una, Tambwe Hiza, Makamba Yusuph, John Chilligati, Salma Kikwete na Ridhwani Kikwete.
kinana ni manager jina, lakini hana mamlaka yoyote.
 
What i know he will win the election for the second tyme. slaa is lyk mrema during that tyme.but Iam happy that there will be a big changes in the cabinet and all other authorities
 
Angekuwa nao mngesema anakumbatia mafisadi, sasa hivi kaamua kuwapotezea mnasema amelosti. Mmeshachagua farasi wenu basi tusubiri huo mtanange, watu wapige kura, yaishe. Tuendelee kuongea mambo ya maana.

Wamemtosa hajawatosa...mbona anajikomba kwao kwenye mikutano...Anyway issue hapa ni nchi kutawaliwa na familia kama North Korea
 
hivi ni kwamba watanzania hawawaelewi au nini?tangu kampeni zimeanza wamejigawa katika kanda mbalimbali,sasa kinachshangaza ni kuona leo amepita bilal,kesho eneo hilo hilo anapita ridhiwan,siku inayofuata anapita salma na siku nyingine tena anapita jk the same area,sasa hapa unajiuliza,ni kwamba hawaeleweki,hawajiamini,hawaaminiani au nini?achilia mbali mikutano yao yote inaenda sambamba na matumizi ya mali ya umma na uvunjwaji wa sheria ya uchaguzi
 
hahahaha ni kweli mkuu

we fikiria leo mtot wa kikwete amefukuzwa iringa ambako baba yake alipita majuzi hapa

hawajiamini hawa .
 
Wameifanya kampeni ni ya familia na sasa wale wenye chama wamewazilia na wamekaa pembeni waone wakwere na Makamba wao watakavyochakachua urais!!
 
tena huyu alaikuwa si wa kufukuzwa ni wa kupigwa mitama na kumwagiwa upupu
 
wanacheza mchezo wa kibunzi kibunzi lakini kwa kuzitumia kodi zetu kwa mambo yao binafsi. Kwa kifupi ni watalii wa ndani ya nchi
 
Angekuwa nao mngesema anakumbatia mafisadi, sasa hivi kaamua kuwapotezea mnasema amelosti. Mmeshachagua farasi wenu basi tusubiri huo mtanange, watu wapige kura, yaishe. Tuendelee kuongea mambo ya maana.

Kikwete hawezi kutengana na mafisadi akifanya hivyo tu amekwisha; hao wanaompa hizo helicopter ni watu gani sio hao hao mafisadi? Akipata ukulu lazima atawalipa fadhila yao in one way or another; heis in a catch 22!!
 
hivi hujawai kuona timu beki zinakatika ..sasa ndo ccm na JK na timu yake ya kampeni..beki hazikabi
 
Back
Top Bottom