Maswali kwa Mhe. Mnyika na CHADEMA

humu watu wengine wanafuata upepo tu lakini ni damu ya kijani isipokuwa wanaogopa kujitokeza hadharani.

Huwezi ukasema cdm wamekosea either kwa kutoka bungeni ama kwa kumwona mheshimiwa rais. tuache unafiki jamani tuangalie je hiyo sheria iliyopitishwa inamapungufu ama haina?

Kama haina basi ndo tuwalaumu chadema lakini vinginevyo hawana makosa yoyote tutambue kudai haki hakuna lelemama si mnaona hata vyuoni mpaka wanafunzi wagome ndo matatizo yanatauliwa.

Ni kazi kweli kulitoa gamba hili
WEWE NDIO GAMBA KWELI YAANI HATA UNACHOZUNGUMZA HUKIJUI SIJUI SASA UNAZUNGUMZA NINI??

LETE ME TELL U THIS MADAI YA CDM SIO KUHUSU CONTENTS ZA MSWADA NI KUHUSU MUDA WA MJADALA,WANACHOTAKA NI KUWA MSWADA USIPELEKWE HARAKA KWANZA WALITAKA USOMWE KWA MARA YA KWANZA BUNGENI BUNGE LIKAKATAA PILI WAMEMUOMBA RAISI ASISAINI AMESAINI

CONTENT ZA BILL ZINA MATATIZO MAKUBWA HASA NGUVU ZA RAISI NA MAMLAKA ALIYOPEWA,MUUNGANO NA MAMBO CHUNGU MZIMA LAKINI MADAI YA CDM SIO HAYO MADAI YAO NI UHARAKA WA MSWADA WHICH 4 ME IS NOT BIG DEAL KWANI NI WATANZANIA WANGAPI WANASOMA MISWADA??

WEWE HAPO UMESHAUSOMA MARA NGAPI NA JE UMEUELEWA??UNAIJUA KATIBA??

msimamo wangu uko palepale KESI YA NGIRI USIMPE NGURUWE
 
Naomba kuwauliza Mhe. Mnyika na CDM wote maswali haya:

1. Hivi ilikuwaje mpaka mkataka kuomba kukutana na Rais J.K, wakati mkijua kuwa aliishahaidi kwa watanzania kupitia Wazee wa Dar es Salaam kuwa huo Muswaada lazima autie wino kabla ya tarehe 1/12/2011?

2. Pamoja na mapenzi yetu ya kutaka mabadiliko katika nchi hii, leo hii,....ule muswaada ni sheria inayouma....kama msumeno...Je, ni nani awezaye kuipinga sheria halali?

3. Hivi, hamkujua kuwa ndani ya CDM kuna "double agents" na kwamba ilikuwa na dhahili kuwa katika hili watu hao ilikuwa lazima waplay role yao?

Kwa mtazamo wangu, CDM mkubali kwamba HESABU zenu zimeenda kando katika hili la Katiba Mpya.....
 
NAUNGA MKONO HOJA MIA KWA MIaaa HESABU ZIMEENDA CHALIIIIIIIIIIII
 
Umesema vyema kijana .What Chadema did ni kitu ambacho kila mtu atakisema baadaye .Chadema kuingia barabarani kupinga sasa wataeleweka zaidi kuliko ambavyo ingalilkuwa without seeking to meet the Prez na siasa si uadui ni utofauti wa mawazo na mitizamno .

Na wakiingia barabarani wasieleweke itakuaje? what is plan B? maana tatizo CDM siku zote wanatumia the right strategy at a wrong place and time!!!
 
Naomba kuwauliza Mhe. Mnyika na CDM wote maswali haya:

1. Hivi ilikuwaje mpaka mkataka kuomba kukutana na Rais J.K, wakati mkijua kuwa aliishahaidi kwa watanzania kupitia Wazee wa Dar es Salaam kuwa huo Muswaada lazima autie wino kabla ya tarehe 1/12/2011?

2. Pamoja na mapenzi yetu ya kutaka mabadiliko katika nchi hii, leo hii,....ule muswaada ni sheria inayouma....kama msumeno...Je, ni nani awezaye kuipinga sheria halali?

3. Hivi, hamkujua kuwa ndani ya CDM kuna "double agents" na kwamba ilikuwa na dhahili kuwa katika hili watu hao ilikuwa lazima waplay role yao?

Kwa mtazamo wangu, CDM mkubali kwamba HESABU zenu zimeenda kando katika hili la Katiba Mpya.....

pamoja na akili zao nying!katika hili wamekosea!!pale juu kuna ombwe la uongozi!!haijalishi!mazingira ya sasa kwa nchi kama hii katika vyama vya upinzani tunahitaj wana mapinduzi!,pale juu wanahitajika wakina Godbless Lema na wa aina yake,sio hao wasanii wakina Zitto na wazushi wenzake!!
 
Naomba kuwauliza Mhe. Mnyika na CDM wote maswali haya:

1. Hivi ilikuwaje mpaka mkataka kuomba kukutana na Rais J.K, wakati mkijua kuwa aliishahaidi kwa watanzania kupitia Wazee wa Dar es Salaam kuwa huo Muswaada lazima autie wino kabla ya tarehe 1/12/2011?

2. Pamoja na mapenzi yetu ya kutaka mabadiliko katika nchi hii, leo hii,....ule muswaada ni sheria inayouma....kama msumeno...Je, ni nani awezaye kuipinga sheria halali?

3. Hivi, hamkujua kuwa ndani ya CDM kuna "double agents" na kwamba ilikuwa na dhahili kuwa katika hili watu hao ilikuwa lazima waplay role yao?

Kwa mtazamo wangu, CDM mkubali kwamba HESABU zenu zimeenda kando katika hili la Katiba Mpya.....
jibu la swali la kwanza:kukutana na rais(kichwa nazi)ni moja ya hatua ya kudai haki na wala sijaona kosa la chadema kwenda kukutana na JK,hiyo ni hatua za awali katika kudai haki na ikikiukwa kama ilivyokiukwa hatua zingine zinafata nazo si punde utaziona na hizo hazitafanywa na chadema pekee ni wanaharakati pamoja na watanzania tunaopata shida kwenye nchi yetu si akina jairo wala nape na wengine kama hao wala vibalaka vyao

jibu la pili:kwakua sheria imepitishwa kihuni sheria hiyo aina baraka za mungu hivyo kutekelezeka itakua ngumu,nguvu ya umma ni nguvu ya mungu inayo dai haki ya kweli tutaingi front kudai haki sahihi itakayo kuwa maslai kwa wananchi wote bila kujali itakadi yoyote ile ya kichama,kidini ama jinsia.

Jibu la tatu:hicho unachokisema ukweli utajulikana kwakua chadema ni chama makini na kinacho pigania haki ya kweli ivyo mkono wa mungu utakuwa na wanyonge ambao ni wengi kwa sasa

kuhusu mtizamamo wako,naweza kusema ni finyu,acha woga hatutakiwi kujanga taifa la watu woga na usipo dai haki yako jiandae kuchezewa masaburi
 
CDM were right for what they were proposing to the president for the better future of our country, but the president prioritized his party affairs rather than the majority welfare!
 
cdm were right for what they were proposing to the president for the better future of our country, but the president prioritized his party affairs rather than the majority welfare!

mnawaza kicdm tu!shame on you!hakuna mwanamapinduzi hapo!tutoe mbowe,slaa,zito! Tuweke lema mwenyekiti,katibu mnyika au waitara!muone kama ccm haitatoka madarakani!!!tufikiri vizuri tuache unafiki!!pale juu kuna ombwe la uongozi wa kimapinduzi!!
 
jibu la swali la kwanza:kukutana na rais(kichwa nazi)ni moja ya hatua ya kudai haki na wala sijaona kosa la chadema kwenda kukutana na JK,hiyo ni hatua za awali katika kudai haki na ikikiukwa kama ilivyokiukwa hatua zingine zinafata nazo si punde utaziona na hizo hazitafanywa na chadema pekee ni wanaharakati pamoja na watanzania tunaopata shida kwenye nchi yetu si akina jairo wala nape na wengine kama hao wala vibalaka vyao

jibu la pili:kwakua sheria imepitishwa kihuni sheria hiyo aina baraka za mungu hivyo kutekelezeka itakua ngumu,nguvu ya umma ni nguvu ya mungu inayo dai haki ya kweli tutaingi front kudai haki sahihi itakayo kuwa maslai kwa wananchi wote bila kujali itakadi yoyote ile ya kichama,kidini ama jinsia.

Jibu la tatu:hicho unachokisema ukweli utajulikana kwakua chadema ni chama makini na kinacho pigania haki ya kweli ivyo mkono wa mungu utakuwa na wanyonge ambao ni wengi kwa sasa

kuhusu mtizamamo wako,naweza kusema ni finyu,acha woga hatutakiwi kujanga taifa la watu woga na usipo dai haki yako jiandae kuchezewa masaburi

Acha mtazamo uendelee kuwa finyu, lakini kumbuka Watazania wa sasa si wa kubuluzwa......Watu wengi, ni kweli hali ya nchi tunaiona si nzuri hata kidogo....na kwa kweli tunahitaji mabadiliko. Lakini, katika hili la Katiba Mpya CDM mmeshindwa kulisimamia vilivyo! Na hata hiyo "Nguvu ya Umma" utaipata wapi, wakati watu tuliowengi tunaona kuwa CDM mnatafuta sympathy ya Umma huku mkijua ni makosa?

Kwani, Arusha mlifanikiwa kukesha ili Mhe. Lema atolewe gerezani? Ebu rudini nyuma mkajipange vilivyo kama kweli mnataka symapathy ya Umma! Ninawapenda sana wanamageuzi na wapenda mabadiliko, lakini katika hili hatuendi pamoja!
 
we baki nyuma tu!wanaume,tunaenda kupambana kisha utanufaika hata wewe....baki ulee watoto wala usijali si lazima tuwe front wote kuna wanaotakiwa kubaki kwaajili ya kuangalia watoto kama wewe unafaa sana
 
Acha mtazamo uendelee kuwa finyu, lakini kumbuka Watazania wa sasa si wa kubuluzwa......Watu wengi, ni kweli hali ya nchi tunaiona si nzuri hata kidogo....na kwa kweli tunahitaji mabadiliko. Lakini, katika hili la Katiba Mpya CDM mmeshindwa kulisimamia vilivyo! Na hata hiyo "Nguvu ya Umma" utaipata wapi, wakati watu tuliowengi tunaona kuwa CDM mnatafuta sympathy ya Umma huku mkijua ni makosa?

Kwani, Arusha mlifanikiwa kukesha ili Mhe. Lema atolewe gerezani? Ebu rudini nyuma mkajipange vilivyo kama kweli mnataka symapathy ya Umma! Ninawapenda sana wanamageuzi na wapenda mabadiliko, lakini katika hili hatuendi pamoja!

big up!!!!Mungu akuzidishie maono!!!!!pale juu kuna ombwe la uongozi!Mbowe sio kiongozi!Slaa anafuata maelekezo pamoja na akili zake nying,zitto manfiki,myika swafi,tatizo anafanya kazi kwenye kivuli cha Mbowe!!!!!Tubadilike jamani!
 
mnawaza kicdm tu!shame on you!hakuna mwanamapinduzi hapo!tutoe mbowe,slaa,zito! Tuweke lema mwenyekiti,katibu mnyika au waitara!muone kama ccm haitatoka madarakani!!!tufikiri vizuri tuache unafiki!!pale juu kuna ombwe la uongozi wa kimapinduzi!!

aibu kwako ccm wamerukia mchakato wa katiba ndio maana baada ya chadema kutoka bungeni hakuna alie jadili katiba bali wote labda chenge tu ndio alitoa mchango wenye maana waliobaki ilikuwa kutukana na umbea kama wewe kuhusu cdm kwangu mimi sioni kama wabunge walioujadili ule mswaada walikula posho kihalali yaani 200,000 x 5 kusema tu ndiooooooooo

 
aibu kwako ccm wamerukia mchakato wa katiba ndio maana baada ya chadema kutoka bungeni hakuna alie jadili katiba bali wote labda chenge tu ndio alitoa mchango wenye maana waliobaki ilikuwa kutukana na umbea kama wewe kuhusu cdm kwangu mimi sioni kama wabunge walioujadili ule mswaada walikula posho kihalali yaani 200,000 x 5 kusema tu ndiooooooooo


ndugu yangu!!!kesho na kesho kutwa hata wewe waweza kuwa kiongozi wangu pengine rais wangu!!!ila kwa mawazo yako hayo imani yangu inabaki pale pale hata wewe ukiwa rais,ni aina ya wale wale wakina kikwete,wakina mbowe,zitto!!mwinyi!na hata mkapa though yeye ni tofauti kidogo na hao wazushi wako!
 
big up!!!!Mungu akuzidishie maono!!!!!pale juu kuna ombwe la uongozi!Mbowe sio kiongozi!Slaa anafuata maelekezo pamoja na akili zake nying,zitto manfiki,myika swafi,tatizo anafanya kazi kwenye kivuli cha Mbowe!!!!!Tubadilike jamani!
user-online.png
ntogwisanguhttps://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/198594-maswali-kwa-mhe-mnyika-na-cdm.html#post2909912



Member Array
Join Date : 25th November 2011
Posts : 36


Rep Power : 0
 
Chadema walienda Ikulu na hatimaye wakasaini makubaliano na kunywa Juice, Kesho Yake Rais akasaini muswaada ambao unalalamikiwa na wadau mbalimbali, Jana CDM wakatoa tamko. Je yupi yuko sahihi hapa. Na Tujiulize maswali mawili, Moja kama CDM wangekuwa IKULU leo wangekubali kiulaini tu? Pili Kwa nini walienda IKULU walikurupuka, hawakujipanga na kama wamesaini makubaliano means wanakubaliana na muswaada uliopitishwa na bunge ingawa unamapungufu mengi tu na kama hawakukubaliana mbona walisaini? Nawakilisha. Peace & Love.
 
Chadema walienda Ikulu na hatimaye wakasaini makubaliano na kunywa Juice, Kesho Yake Rais akasaini muswaada ambao unalalamikiwa na wadau mbalimbali, Jana CDM wakatoa tamko. Je yupi yuko sahihi hapa. Na Tujiulize maswali mawili, Moja kama CDM wangekuwa IKULU leo wangekubali kiulaini tu? Pili Kwa nini walienda IKULU walikurupuka, hawakujipanga na kama wamesaini makubaliano means wanakubaliana na muswaada uliopitishwa na bunge ingawa unamapungufu mengi tu na kama hawakukubaliana mbona walisaini?

Inabidi chadema wawe makini sana ndani ya chama kuna wanachama ni CCM -B ndani ya chama kwa hiyo hata ushauri wa kwenda Ikulu walitakiwa wautafakari sana. Na sasa wamesaini makubaliano na Raisi amesaini muswaada hapo kwisheni kabisa kama ni Mwanamke ameshafika chumbani na ameanza kuvua viatu na sketi. Hii ni hatari kwa Taifa letu. Sisi tulio nje huku na tulikiamini CDM lakini leo hii tuona mambo yalivyo nani atajenga hii nchi. Watz wa leo kila mtu sasa ni kuchukua chake mapema

Nawakilisha. Peace & Love.
 
Chadema walienda Ikulu na hatimaye wakasaini makubaliano na kunywa Juice, Kesho Yake Rais akasaini muswaada ambao unalalamikiwa na wadau mbalimbali, Jana CDM wakatoa tamko. Je yupi yuko sahihi hapa. Na Tujiulize maswali mawili, Moja kama CDM wangekuwa IKULU leo wangekubali kiulaini tu? Pili Kwa nini walienda IKULU walikurupuka, hawakujipanga na kama wamesaini makubaliano means wanakubaliana na muswaada uliopitishwa na bunge ingawa unamapungufu mengi tu na kama hawakukubaliana mbona walisaini?

Inabidi chadema wawe makini sana ndani ya chama kuna wanachama ni CCM -B ndani ya chama kwa hiyo hata ushauri wa kwenda Ikulu walitakiwa wautafakari sana. Na sasa wamesaini makubaliano na Raisi amesaini muswaada hapo kwisheni kabisa kama ni Mwanamke ameshafika chumbani na ameanza kuvua viatu na sketi. Hii ni hatari kwa Taifa letu. Sisi tulio nje huku na tulikiamini CDM lakini leo hii tuona mambo yalivyo nani atajenga hii nchi. Watz wa leo kila mtu sasa ni kuchukua chake mapema

Nawakilisha. Peace & Love.

Habari za monduli bwana kisendi, vip ulishaacha tabia yako ya unyoka/spy kama pale Nsumba
 
mfa maji haachi kutapatapa.....huu si wakati wa kujilaumu cdm,ni wakati wa kujipanga kosa limefanyika tukubali yaishe tusonge mbele kama tulivokubali na tukasonga mbele kwenye kususia vikao vya bunge.
 
WEWE NDIO GAMBA KWELI YAANI HATA UNACHOZUNGUMZA HUKIJUI SIJUI SASA UNAZUNGUMZA NINI??

LETE ME TELL U THIS MADAI YA CDM SIO KUHUSU CONTENTS ZA MSWADA NI KUHUSU MUDA WA MJADALA,WANACHOTAKA NI KUWA MSWADA USIPELEKWE HARAKA KWANZA WALITAKA USOMWE KWA MARA YA KWANZA BUNGENI BUNGE LIKAKATAA PILI WAMEMUOMBA RAISI ASISAINI AMESAINI

CONTENT ZA BILL ZINA MATATIZO MAKUBWA HASA NGUVU ZA RAISI NA MAMLAKA ALIYOPEWA,MUUNGANO NA MAMBO CHUNGU MZIMA LAKINI MADAI YA CDM SIO HAYO MADAI YAO NI UHARAKA WA MSWADA WHICH 4 ME IS NOT BIG DEAL KWANI NI WATANZANIA WANGAPI WANASOMA MISWADA??

WEWE HAPO UMESHAUSOMA MARA NGAPI NA JE UMEUELEWA??UNAIJUA KATIBA??

msimamo wangu uko palepale KESI YA NGIRI USIMPE NGURUWE

Hapo umemuelezea vizuri kabisa kama ana akili amekuelewa.
 
NAHESHIMU VIONGOZI WANGU NA SIIPINGI CHADEMA ILA KUOMBA NA KUKUTANA NA RAISI KIKWETE KULIKUWA HAKUNA MAANA YOYOTE KWANI HAKUNA KILICHOBADILIKA,MSWADA UMEPITISHWA NA BUNGE NA KUSAINIWA NA RAISI KAMA RATIBA YA MAGAMBA ILIVYOKUWA,NAFIKIRI KWA HILI LA KUOMBA NA KUKUTANA NA RAISI TENA MARA MBILI HALIKUWA LA MSINGI.

NI BORA KUKAA KIMYA KAMA NSSR AU KULETA JAMBO HILI KWA WANANCHI MOJA KWA MOJA LAKINI KUKUTANA NA RAISI NA KUMSHAURI NI SAWA NA KUCHUKUA KESI YA NGEDERE NA KUMPELEKEA TUMBILI.

NA SASA NAFIKIRI ILIKUWA BORA KUKAA BUNGENI NA KUJADILI MSWADA KULIKO KUTOKA KWANI MNAKIMBIA KWA SHANGAZI (BUNGENI) HUKU MNAOMBA KUKUTANA NA MJOMBA(IKULU) SIO SAWA

TUBADILIKE HILI LISIJITOKEZE TENA NI LAZIMA TUSOME NYAKATI NA MISIMAMO YA MAGAMBA HASA WAKATI HUU AMBAPO CHAMA CHETU KINAKUA KWA KASI

JK na makinda ni pete na chanda

Maamuzi yaliyofikiwa na viongozi wa CDM kwenda kumwona Rais ni kitendo cha busara, kiungwana na cha muono wa mbali kinyume na watu wenye jazba wanavyofikiria.

Kumbuka kwamba JK ana tabia ya kigeugeu. Mifano ni mingi, lakini ulio dhahiri bado unitesa CCM ni kauli ya KUJIVUA GAMBA. Maoni ya CDM kuhusu muswada wa katiba mpya kwa yeyote ambaye amebahatika kuyapitia, bila kuingiza itikadi za kisiasa yanalenga moja kwa moja kwenye maslahi ya nchi. Kitendo cha kumfikishia JK ili ayaone maoni hayo ambayo ni sababu ya kususia mjadala huo bungeni ni kumthibitishia yeye na umma wa Watanzania kwamba mapendekezo yaliyotolewa na CDM ni kwa maslahi ya taifa.


Kama nilivyoeleza hapo awali kwamba JK ni kigeugeu (rejea simulizi yake ya mbayuwayu). Siku ya siku angewageuka CDM na kudai kwamba kama walikuwa na jambo la kumwona, tena anavyodai kuwa yeye msikivu, kwa nini hawakufanya hivyo. Na hapo kwa watu wenye muono wa karibu kama wewe, ungekuwa wa kwanza kulaumu kwamba kwa nini kama kulikuwa na fursa hiyo viongozi wa CDM hawakufanya hiyo.

Kama ilivyokuwa bungeni, baada ya CDM kuwasilisha muswada mbadala, wabuge wa CCM na CUF walikosa hoja (points) za ku-challenge maoni ya upinzani, badala yake wakaanza kumshambulia Lissu na CDM. Rais naye pia hakuna hoja ambayo ameitoa angalau kwa kuelezea mapungufu ya maoni aliyopelekewa na CDM na hivyo kupelekea kuusaini muswada. Kimsingi Rais amekubaliana na CDM kuhusu mapungufu yaliyomo katika muswada aliokwisha saini. Suala la Rais kuona mapungufu ni jambo moja na uamuzi wa kusaini ni jambo jingine, huwezi kuzuia mkono wa kusaini. La msingi hata wewe umejua kwamba kumbe hata Rais ameyakubali maoni ya CDM lakini amefanya jeuri kwa kutumia madaraka yake. Hili halina tofauti na kitendo cha Rais kuwaambia wezi wa fedha za EPA kwamba wakizirejesha hawatachukuliwa hatua. Anaelewa sheria inasema nini juu ya makosa ya wizi lakini yeye anaamua kinyume chake. Sheria haiwezi kufuata mkondo wake kama kila mwenye mamlaka anapasua mkondo anaoona ni kwa maslahi yake. HAYA NDIYO MAMBO YA KUTAZAMWA KWENYE KATIBA MPYA.

Kitendo cha CDM kwenda kumwona Rais na kuwasilisha maoni, mapendekezo na ushauri kwa mambo ya msingi kama katiba kwa mstakabali wa taifa, wameramba karata dume. Siku ya siku mambo yakibadilika yasivyotegemewa sababu ipo kwamba, CDM TULIFANYA KILA NJIA, HATA KWA MAJADILIANO YA ANA KWA ANA LAKINI........
 
Back
Top Bottom