Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Wanajamii
Ikulu kama taasisi ya juu katika uongozi wa taifa hupaswa kutoa taarifa na ufafanuzi wa masuala mengi ya kitaifa na yanayogusa wananchi wake na hasa panapokuwa na mikanganyiko ama ububu kutoka katika idara au ofisi husika
Pia malamiko na vilio vingi vya mwananchi wa kawaida ni nadra kuifikia taasisi hii kutokana na taratibu na ukiritimba uliojengeka
Nakumbuka kipindi cha nyuma TBC1 waliandaa kipindi kikiongozwa na Tido na Suzan kuwakilisha maswali ya wananchi yaliyowasilishwa kwa live calls,sms na emails,japo hakikufanikiwa sana kutokana na mjibu maswali kutumia muda mrefu kujibu maswali na kutumia takwimu zaidi kujibu maswali lakini nia ilikuwa ni njema na muda haukutosha
Kwa kuzingatia muda,uhuru wa kuuliza na pia privacy ya muulizaji nadhani wigo huu wa wananchi kuuliza maswali yenye KERO SUGU na AHADI zisizotimia na ambazo wahusika wanazifumbia macho na kuziba masikio ungeendelea na kujibiwa na msemaji wa mwisho ama kupitia kwa wasaidizi wake na kurugenzi husika ya bwana SALVA
Kwa kuanzia hapa JF tunaweza kupost maswali yetu na iwepo filtration ya utumbo na kebehi na bwana salva ayatafutie majibu hata mara moja kwa wiki
Pia hata Mkuu ule muda anaokuwa FB na Tweeter sio mbaya akija hapa na kujibu direct kama anaona inabidi
Tunaishi katika ulimwengu wa Teknolojia hebu twende kiteknolojia
NAWASILISHA
Ikulu kama taasisi ya juu katika uongozi wa taifa hupaswa kutoa taarifa na ufafanuzi wa masuala mengi ya kitaifa na yanayogusa wananchi wake na hasa panapokuwa na mikanganyiko ama ububu kutoka katika idara au ofisi husika
Pia malamiko na vilio vingi vya mwananchi wa kawaida ni nadra kuifikia taasisi hii kutokana na taratibu na ukiritimba uliojengeka
Nakumbuka kipindi cha nyuma TBC1 waliandaa kipindi kikiongozwa na Tido na Suzan kuwakilisha maswali ya wananchi yaliyowasilishwa kwa live calls,sms na emails,japo hakikufanikiwa sana kutokana na mjibu maswali kutumia muda mrefu kujibu maswali na kutumia takwimu zaidi kujibu maswali lakini nia ilikuwa ni njema na muda haukutosha
Kwa kuzingatia muda,uhuru wa kuuliza na pia privacy ya muulizaji nadhani wigo huu wa wananchi kuuliza maswali yenye KERO SUGU na AHADI zisizotimia na ambazo wahusika wanazifumbia macho na kuziba masikio ungeendelea na kujibiwa na msemaji wa mwisho ama kupitia kwa wasaidizi wake na kurugenzi husika ya bwana SALVA
Kwa kuanzia hapa JF tunaweza kupost maswali yetu na iwepo filtration ya utumbo na kebehi na bwana salva ayatafutie majibu hata mara moja kwa wiki
Pia hata Mkuu ule muda anaokuwa FB na Tweeter sio mbaya akija hapa na kujibu direct kama anaona inabidi
Tunaishi katika ulimwengu wa Teknolojia hebu twende kiteknolojia
NAWASILISHA