Hivi ni vigezo gani zaidi ya maswali Sekretarieti wanaangalia katika kumpa mtu maksi ndani ya usaili?
kipi ni kiwango cha kufaulu ndani ya sekretariti na ni kwa alama ngapi? ukiachana na alama za ushindani?
kama umeitwa na sekretariti ya ajira sehemu mbili na ukafanya zote na ukafaulu je sekretariti ya ajira hufanyaje?
Na inakuwaje inafika kipindi wanawaita watu kwenye usaili watu watatu nafasi moja halafu hawawachukui wote na baadaye wanatangaza upya? nini sababu zinazosababisha hili kutokea ?
kipi ni kiwango cha kufaulu ndani ya sekretariti na ni kwa alama ngapi? ukiachana na alama za ushindani?
kama umeitwa na sekretariti ya ajira sehemu mbili na ukafanya zote na ukafaulu je sekretariti ya ajira hufanyaje?
Na inakuwaje inafika kipindi wanawaita watu kwenye usaili watu watatu nafasi moja halafu hawawachukui wote na baadaye wanatangaza upya? nini sababu zinazosababisha hili kutokea ?