Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Nilikuwa nawaza tuyote ni original)
1. Mwanasiasa akianguka wakati wa uchaguzi ni vizuri kumuinua?
2: Je fisadi ambaye ameamua kuokoka anaitwa Fisadi Mlokole?
3: Kwanini unafikiri inaitwa Meremeta? kwa sababu iko gizani.
4: Unajua ni kwanini ni vigumu kwa serikali kusimamia dhahabu yetu? Ni nzito!
5: Unajua kwanini CCM imelea ufisadi nchini? kwa sababu ina walezi wake!
6: Kwanini Naibu Spika akizungumza bungeni anaitwa naibu Spika? Kwa sababu hazungumzi sana!
7: Wawekezaji wanaochukua faida yote kupelekwa kwao bado ni wawekezaji?
8: Je Tanesco inaweza kukosa umeme?
9: Mtu akiichafua serikali je inaweza kumsafisha?
10:Wafanyabiashara weusi wanaitwa wafanyibiashara wazalendo, mafisadi weusi wanaitwaje?
1. Mwanasiasa akianguka wakati wa uchaguzi ni vizuri kumuinua?
2: Je fisadi ambaye ameamua kuokoka anaitwa Fisadi Mlokole?
3: Kwanini unafikiri inaitwa Meremeta? kwa sababu iko gizani.
4: Unajua ni kwanini ni vigumu kwa serikali kusimamia dhahabu yetu? Ni nzito!
5: Unajua kwanini CCM imelea ufisadi nchini? kwa sababu ina walezi wake!
6: Kwanini Naibu Spika akizungumza bungeni anaitwa naibu Spika? Kwa sababu hazungumzi sana!
7: Wawekezaji wanaochukua faida yote kupelekwa kwao bado ni wawekezaji?
8: Je Tanesco inaweza kukosa umeme?
9: Mtu akiichafua serikali je inaweza kumsafisha?
10:Wafanyabiashara weusi wanaitwa wafanyibiashara wazalendo, mafisadi weusi wanaitwaje?
Last edited: