SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Kivipi mkuu?Masters ya mzumbe naijua mm siwezi kufananisha na chuo chochote kwa hapa tz
Kivipi mkuu?Masters ya mzumbe naijua mm siwezi kufananisha na chuo chochote kwa hapa tz
HahahaaaaaaaESAMI na mlimani wanafanyiwa term paper.Unaweza kukataa lakini hiyo ndiyo kazi yangu inayoniweka mjini.
Aiseee!! yani hicho chuo serikali ikiangalie kwa jicho la tatu, lah sivyo! watu watakuwa wanakikimbiaWadau nachukua nafasi hii kuwatahadharisha wanaotarajia kusoma Masters za Mzumbe ni kimeo tupu mimi nilianza Masters hapo ya Corporate Management duuh! walimu ni kama vile hawajui kitu wakiingia darasani ni stori zisizo husiana na masomo tupu, waliotutangulia nao ni kutoa pesa kwa walimu ili wafanyiwe Dissertation nimeamua kuacha japo nilishalipia ada kiasi bora nikasome MBA ya ESAMI. Mzumbe jipangeni vinginevyo vyuo vingine vitawapiku.
Huyu jamaa kaisha katwa kichwaKwa kweli bwana Maswitule, nadhani huyu bwana atakuwa na stress zake. Anakilaumu Chuo na kwamba yeye hawezi kufanya dissertation kwa sababu watu hufanyiwa ni hoja mufilisi kabisa na haina mantiki. Kuna watu wengi tena lukuki wanaotoa ushuhuda wa namna ambavyo Masters zao zimewasaidia huko mtaani, na mwingine alitoa ushuhuda kwamba kwa kupitia Masters hiyo, hivi sasa anafanya PhD huko ughaibuni. Kwa hiyo sioni jipya kutoka kwake, ni ule utumbo wa siku zote wa ushindani wa vyuo ila leo kaja na rangi tofauti.
achana na shule katafute kitu kingine ufanyeWadau nachukua nafasi hii kuwatahadharisha wanaotarajia kusoma Masters za Mzumbe ni kimeo tupu mimi nilianza Masters hapo ya Corporate Management duuh! walimu ni kama vile hawajui kitu wakiingia darasani ni stori zisizo husiana na masomo tupu, waliotutangulia nao ni kutoa pesa kwa walimu ili wafanyiwe Dissertation nimeamua kuacha japo nilishalipia ada kiasi bora nikasome MBA ya ESAMI. Mzumbe jipangeni vinginevyo vyuo vingine vitawapiku.
Mkuu mbona unanikatisha tamaa na mimi nataka kufanya graduate degree Mzumbe UniDegree za MZUMBE ni kujiongezea makaratasi yasiyo na maana kwenye bahasha A4 za khaki kabatini. USELESS PAPERS
MMkuu mbona unanikatisha tamaa na mimi nataka kufanya graduate degree Mzumbe Uni
Ila isije kuwa wewe ndio kimeo siamini kama walimu wote wanaweza kuingia eti nakuanza kufundisha yasio kwenye mada big NOWadau nachukua nafasi hii kuwatahadharisha wanaotarajia kusoma Masters za Mzumbe ni kimeo tupu mimi nilianza Masters hapo ya Corporate Management duuh! walimu ni kama vile hawajui kitu wakiingia darasani ni stori zisizo husiana na masomo tupu, waliotutangulia nao ni kutoa pesa kwa walimu ili wafanyiwe Dissertation nimeamua kuacha japo nilishalipia ada kiasi bora nikasome MBA ya ESAMI. Mzumbe jipangeni vinginevyo vyuo vingine vitawapiku.
Sijakuelewa mkuuMasters ya mzumbe labda economics!!!!alaf we Ni nyau kweli kweny si mnaela et ooooo nimekimbiaaaaa oooo sijui nin si uende Harvard, duke univers,,, oxford univers, au massachussets kima wewe kalime kwenu
Wadau nachukua nafasi hii kuwatahadharisha wanaotarajia kusoma Masters za Mzumbe ni kimeo tupu mimi nilianza Masters hapo ya Corporate Management duuh! walimu ni kama vile hawajui kitu wakiingia darasani ni stori zisizo husiana na masomo tupu, waliotutangulia nao ni kutoa pesa kwa walimu ili wafanyiwe Dissertation nimeamua kuacha japo nilishalipia ada kiasi bora nikasome MBA ya ESAMI. Mzumbe jipangeni vinginevyo vyuo vingine vitawapiku.