Ubora wa Shahada za Uzamili kutoka Chuo Kikuu Mzumbe

Mzumbe ni chaka la kuchukulia vyeti tu! Elim ya ubabaishaji...NAPE ana qualfication gan za kusoma Masterz pale???
 
Acheni kukatisha watu tamaa jamani,mzumbe ni moja ya vyuo bora hapa tanzania bana.
 
Hakuna chuo kilichokosa soko la MBA......use simple common sense UDSM evening MBA ni three years, full time two years-mzumbe zote ni two years. Pia kwa umri wa mzumbe haijafikia uwezo wa kuproduce all those many Masters degree. How many Phd holder are employed as Lectures mzumbe? Mwenye Masters degree anamfundisha student wa Masters? na kusimamia dissertation...uliona wapi udhaifu huu?

Kwa sasa Mzumbe wanakusanya funds two, ukweli masters degree zao ni vimeo vya kufa mtu, graduate wa masters degree mzumbe wasio wanafiki wanakiri kabisa kuwa walikwend akupata vyeti tu ili wapate promosheni serikalini. Lakini kama mtu umejiajiri na unataka elimu hiyo uitumia huko unakofight biashara. Mzumbe is not ideal.

Hapo kwenye red, mimi ni graduate wa Mzumbe na siko kwenye public sector. Na ninakubalika sana sehemu yangu ya kazi. si najisifu, ni bora kuelezana ili niweke kumbukumbu sawa.

Inashangaza sana. Mleta mada anategemea kila kitu aelezwe na Lecturer ambaye kimantiki anatakiwa kutoa 20% ya unachotakiwa kufahamu. Labda ndiyo wale wale mliosoma shule mayai, na ufaulu wenu unapimwa na kiwango cha ada mnacholipa.

Kwa taadhari tu, kama shule ya Mzumbe imemshinda, basi ESAMI watakula kichwa kweupe tu, semister ya kwanza.
 
Hakuna chuo kilichokosa soko la MBA......use simple common sense UDSM evening MBA ni three years, full time two years-mzumbe zote ni two years. Pia kwa umri wa mzumbe haijafikia uwezo wa kuproduce all those many Masters degree. How many Phd holder are employed as Lectures mzumbe? Mwenye Masters degree anamfundisha student wa Masters? na kusimamia dissertation...uliona wapi udhaifu huu?

Kwa sasa Mzumbe wanakusanya funds two, ukweli masters degree zao ni vimeo vya kufa mtu, graduate wa masters degree mzumbe wasio wanafiki wanakiri kabisa kuwa walikwend akupata vyeti tu ili wapate promosheni serikalini. Lakini kama mtu umejiajiri na unataka elimu hiyo uitumia huko unakofight biashara. Mzumbe is not ideal.


Na kama ni kweli umejiajiri na unataka knowledge sio cheti hata udsm sio sehem sahii,, sina masters yoyote lakini nimebahatika kutembea kuona dunia ilivyo,, bongo hakuna chuo kinachomzidi mwenzake,, vyote vinafanana tofauti majina tu...

Ukitaka knowledge jichange nenda university of california, missisissipi, stracyclide, manchester, alabama, cape town etc.. Nenda kwenye states univesity uone research centres na elimu zinavyotolewa katika dunia hii competitive...
 
Masters ya Corporate Management ya Mzumbe hususan hawa wanaosomea Campus ya Dar ni KIMEO cha KUFA mtu walimu wengi ni vimeo as well, hasa wa BUS 501: MARKETING MANAGEMENT (japo kwenye course outline ameandika BUS 5011) akiingia darasani ni kubwabwaja tu. KULIKO USOME MASTERS MZUMBE bora ukasome Certificate in Video Production: ZOOM POLYTECHNIC - Magomeni Usalama.
 
Mzumbe bado sana kuitwa Chuo Kikuu kwanza hamna resources (be it Human, physical) za kutosha hivi kile mmejenga hapo Dar nayo mnaita Campus na mnafundisha Postgraduate courses... Walimu wa kufundisha Postgraduate wapo wapi au ndo mnabeba wale wakenya wenye diploa? kisa wanajua Kuongea Kiingereza vizuri tu? content zero!!!
 
mimi sijui sana kuhusu mzumbe ila kwa suala la kina Kamala na Nchimbi nilijiuliza sana kwa nini karibu wote wenye masters na phd za ujanja ujanja zinatoka mzumbe na sijasikia matukio kama hayo kwa masters na phd za udsm wakati ndio chuo kilichoanza kutoa masters muda mrefu
 
mimi sijui sana kuhusu mzumbe ila kwa suala la kina Kamala na Nchimbi nilijiuliza sana kwa nini karibu wote wenye masters na phd za ujanja ujanja zinatoka mzumbe na sijasikia matukio kama hayo kwa masters na phd za udsm wakati ndio chuo kilichoanza kutoa masters muda mrefu

Una uhakika na unachosema? Kuna mtu ana PhD ya ujanja ujanja toka Mzumbe? tupe majina ya hao wenye PhD za ujanja ujanja kutoka Mzumbe basi. Au hayo yote ni yale tunayosema siku zote kwamba watu wanadhani kuna vyuo vyenye haki miliki ya PhD katika nchi hii. Hebu pitia hizo abstract then utuambie kama kuna kitu kinafanyika chini ya kapeti. http://drps.mzumbe.ac.tz/documents/Mzumbe PhD Abstracts 2.pdf
 
Nimekuwa najiluliza maswali mengi sana kuhusu hiki chuo, rapid transformation from IDM-Mzumbe to Accredidated University yenye hadhi ya kutoa hizo MA na Phd's kwa fujo. UDSM chuo kikongwe bado kinastruggle na human resources especially lecturers hadi leo (tafakari). Na ninapoona wanasiasa ( kumbuka dunia ya tatu hili ndilo kundi linalopenda njia za mkato pengine kuliko mengine) wanakimbilia Mzumbe napata wasiwasi zaidi!!
 
Mzumbe University has QUALITY problem, no doubt about that. And it has to be fixed.
 
asante kwa taarifa mkuu! m ndo mlikuw najiandaa nxt yr nianze. ila km desseratio ya kunuhnu c ndo poa!!

Haya wenye Masters njooni muone mwenzenu huku!

Hii kweli itakuwa ya Mzumbe.
 
  • Thanks
Reactions: SpK
Nimekuwa najiluliza maswali mengi sana kuhusu hiki chuo, rapid transformation from IDM-Mzumbe to Accredidated University yenye hadhi ya kutoa hizo MA na Phd's kwa fujo. UDSM chuo kikongwe bado kinastruggle na human resources especially lecturers hadi leo (tafakari). Na ninapoona wanasiasa ( kumbuka dunia ya tatu hili ndilo kundi linalopenda njia za mkato pengine kuliko mengine) wanakimbilia Mzumbe napata wasiwasi zaidi!!

Bwana Mwendakulima, nina mashaka juu ya uwezo wako wa analysis. Sijui hata kama unaelewa maana ya rapid transformation from IDM to Mzumbe University na pia inaonekana umesikia ju ju kuhusu transformation lakini hujui transformation process ya IDM ilianza lini. Unaongelea suala la MA na PhDs ambalo unaonekana kuwa less informed. Kwanza unaonekana umekariri, Mzumbe University hakuna MA programme yoyote hadi leo hii. Kama una maana ya masters programmes basi hebu tukusaidie. Masters programmes zinazotolewa Mzumbe ni MPA, MBA, na MSc. Probably MA is in the pipeline to be offered in the future but currently not offered. Lakini unaonekana hujui historia ya Mzumbe katika kutoa programmes za masters ilianza lini. Ni kama vile unadhani masters programmes zimeanza kutolewa na Mzumbe University mwaka 2002. Ukweli ni kwamba masters programmes zilianza kutolewa tangu mwaka 1989 by defunct IDM. Naamini huu ni wakati ambao hata ulikuwa hujui kinachoendela katika masuala ya elimu Tanzania. PhD zimeanza kutolewa mwaka 2005/2006. Mwanafunzi wa kwanza kutunukiwa PhD ni Dr. Eleuter Mushi (2009) ambaye sasa ni Mhadhiri Mzumbe, wa pili ni Dr. Modesta Opiyo na orodha imeendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka. Mwaka 2011, Chuo kiliwatunuku PhD wahitimu 7 akiwemo Dr. Emmanuel Nchimbi, wengine ni wahadhiri kutoka hapa nchini na moja toka Nigeria. Swali langu ni je, Mwanasiasa John Pombe Magufuli na John Ndunguru wakitunukiwa PhD na UDSM hakuna shida, ila Emmanuel Nchimbi akitunukikwa PhD Mzumbe basi kuna shida na kelele nyingi. (You seem to have prejudice in this matter). Do you want to force everyone to go to UDSM?, people must have choice and for them Mzumbe is their choice and above all external examiners wa Mzumbe University ni hao hao Professors wa UDSM na kwenye Viva Voce Examinations wanaalikwa na kutoa comments sasa hizo quality assurance zenye shida ni zipi? Je hao wanasiasa ambao leo hii wameshaonekana ni wengi ni akina nani zaidi ya Nchimbi na Kamala? Kwa nini hakuna aliyeenda mahakamani kuomba mahakama itengue uhalali wa PhD zao?
 
Mzumbe ni sawa na NBAA kazi yao NBAA ni kutunga mitihani migumu tu, lakini kinachoendelea kwenye Review Classes hawakijui. Asante kwa taarifa !
 
Wadau nachukua nafasi hii kuwatahadharisha wanaotarajia kusoma Masters za Mzumbe ni kimeo tupu mimi nilianza Masters hapo ya Corporate Management duuh! walimu ni kama vile hawajui kitu wakiingia darasani ni stori zisizo husiana na masomo tupu, waliotutangulia nao ni kutoa pesa kwa walimu ili wafanyiwe Dissertation nimeamua kuacha japo nilishalipia ada kiasi bora nikasome MBA ya ESAMI. Mzumbe jipangeni vinginevyo vyuo vingine vitawapiku.


NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK, AND IF U SPEAK, U SPEAK OUT AN IGNORANCE:rockon:
 
Back
Top Bottom