Masters of Arts in Mass Communication at UDSM

Hume

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
340
108
Kwa wanaopenda kujiimarisha katika fani ya MASS COMMUNICATION, UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM Kupitia Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma wameanzisha kozi hiyo katika ngazi ya shahada ya pili, kama nilivyokutana na tangazo kwenye attachment.
 

Attachments

  • MA ADVERT.pdf
    823.7 KB · Views: 195
Back
Top Bottom