kamikaze
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 422
- 610
Natumai wana jf wote ni wazima. Kuna kitu naomba nieleweshwe, nimekua nikisikia baadhi ya wanafunzi wa kitanzania wakienda china kusoma masters programmes mbalimbali zinazofundishwa kwa lugha ya kichina.Swali langu ni kuwa huwa wanaelewa vizuri masomo kama ambavyo wangesoma kwa kiingereza maana naona kichina ni kigumu na vp kuhusu ubora wa elimu ya china ukilinganisha na ya hapa kwetu Tanzania.Majibu ya haya yanaweza nipa mshawasha nami nikatafuta nafasi ya kwenda kusoma huko.
Natumai humu jf kuna watu wamesoma china na wengine angali wanasoma au ndugu zao wamesoma huko, hivyo nategemea kupata majibu ya kuridhisha.
AKSANTENI
Natumai humu jf kuna watu wamesoma china na wengine angali wanasoma au ndugu zao wamesoma huko, hivyo nategemea kupata majibu ya kuridhisha.
AKSANTENI