Zote ni nzuri,ila atakayoipenda ndio itakuwa nzuri zaidi kwakerafiki yangu ana degree ya education but anataka asome master ya BBA au LAW...WADAU MNASEMAJE?
F 4 REAL unasoma ili upate cheti na kuombea kazi na si kuelimika? Soma kozi ambayo utaweza kujiajiri na kuajiri wengineni bora ya BBA ipo sokon kwa law hapana atakesha sana..me mwenyew nawaza hata sijui nifanye masters gani kulingana na market kwa sasa..Atulie aseme na moyo waake afanye maamuz sahihi,
ni bora ya BBA ipo sokon kwa law hapana atakesha sana..me mwenyew nawaza hata sijui nifanye masters gani kulingana na market kwa sasa..Atulie aseme na moyo waake afanye maamuz sahihi,
Mkuu mleta mada yamkini hajafika kiwango cha bachelor degree kwa hyo si yeye ndie muhitaji wa Master ndio maana ameshindwa kutofautisha MBA na Master ya BBA
rafiki yangu ana degree ya education but anataka asome master ya BBA au LAW...WADAU MNASEMAJE?
Masters ya BBA ndo ikoje mkuu na inatolewa chuo gan hapa ulimwenguni?me nijuavyo kuna MBA tu!
Master ya BBA????
Hebu funguka kidogo utwambie ndo masters ya nini hiyo au unamaanisha Masters of Big Brother Africa?