Kuna jamaa yangu amekuwa mpiga punyeto kwa muda mrefu sasa imefikia mahali machine yake ikisimama haiwi nganagali yani imelegea sio ngumu na hawezi ku-sustain long erection and even to repeat tendo jingine.Mwaweza Msaidia huyu bwana wale wataalamu
Aongeze tena mpaka iwe kama tambala la deki,halafu manii yawe yanatoka yenyewe.Hapo atakuwa salama kwa muda mrefu maana HIV ni mbaya zaidi.
Jamani si mmemuelewa? msaidieni tu! mbona hata mimi kuna mtu alikuja kunilalamikia tatizo kama hilo lakini kwa namna tofauti, yeye imemfanya akikutana na mwanamke achukue saa nzima mpaka masaa mawili kufika kileleni na hata akifika mzee anachukua muda mrefu kulala yaani jamaa anasema hachoki!bora mmemueleza ukweli cos jamb alitaka kutuzunguka kijanja
Hiyo vegel's isomeke Kegel's!3. fanya vegel's exercise ukaze misuli, pia huna tatizo ila kufanya mustarbation kunaleta mfadhaiko yaani unafeel kwamba unakosea ila addiction tu, so hakikisha hauathiriki kisaikolojia
Jamani si mmemuelewa? msaidieni tu! mbona hata mimi kuna mtu alikuja kunilalamikia tatizo kama hilo lakini kwa namna tofauti, yeye imemfanya akikutana na mwanamke achukue saa nzima mpaka masaa mawili kufika kileleni na hata akifika mzee anachukua muda mrefu kulala yaani jamaa anasema hachoki!
Uwazi hapa JF? Hapa kuna Rungu, Kicheche, Vijisenti n.k hakuna uwazi hapa!Jambo la msingi ni kuwa muwazi ili usaidiwe sio kuzungukazunguka.