Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,807
- 59,289
- Thread starter
- #21
Ni kweli lakini wabeijing bora wajue kwamba wasipotoa watu watatafuta huko kwenye vibanda mitaani.
Ni nzuri kufanyiwa nyumbani kwakweli kwakua more often than not mnaweza msimalize zoezi ukamrukia lol
Ndio maana tunakumbushana/elezana.
Sema na nyie wanaume muwe mnawaambia wenzenu kama kuna vitu mngependa wawe wanafanya kwaajili yenu. Sio mnakaa kimya, mnabaki kusikia kwingine alafu badala ya kirudisha somo makwenu mnaenda kusaka huko huko nje anaejua tayari. Mueleze, kama hajui muongoze mpaka afikie kiwango unachotaka wewe.