Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Watu wenye muono kama wako mnakuwa mnanimaliza sana...siku zote hupenda kujigeza nao...mpo wachache sana dunia nzima hii...!mungu nibariki.....
nisiwe mtu wa kufuatilia ya watu...
niwe mtu wa kujali ya kwangu
please god help me to always
mind my bizness.
ameeeeen.
mungu nibariki.....
nisiwe mtu wa kufuatilia ya watu...
niwe mtu wa kujali ya kwangu
please god help me to always
mind my bizness.
ameeeeen.
walifanya kamgomo walipokwenda ku record kipindi bungeni dodoma baada ya kupewa speaker mbovu. si unajua makampuni ya waswahili wenye tamaa wanataka kazi ifanyike wakati vitendea kazi hakuna. fina na masoud wakagoma. gerald ndio alifanya kazi. wakapewa barua za kujieleza, ambazo nadhani hazikutosheleza management ya ma checkbob wa clouds, ikabidi waachishwe kazi. sababu hii nadhani haitoshelezi vile inaonekana kama walikua wanatafutwa siku nyingi, kisababu cha kijinga kilipopatikana ikabidi wafunge virago. masoud anatangaza radio times nadhani au magic, sina hakika. fina ndio sina habari zake. tatizo clouds wanafanya kazi kutafuta jina lakini si kwamba eti wanalipwa sana. kikubwa wanawatajirisha wale vigogo wawili, wachafuzi wa jiji.Nasikia wameomba nyongeza ya mshahara si unajua PB ni moja kati ya vipindi vinavyolipa sana pale Clouds alafu wao wanaambulia chenji while millions of money are obtained via wao.
Imagine kudhamini just an hour ni kama 4m kwa mwezi sasa PB ni 3hrs alafu unakuta each hour kuna wazamini 3!
Kingine ni kuwa wameshajenga jina so wanatingisha kibiriti thus wako kama kalikizo wakisubili majibu ya Maombi yao
walifanya kamgomo walipokwenda ku record kipindi bungeni dodoma baada ya kupewa speaker mbovu. si unajua makampuni ya waswahili wenye tamaa wanataka kazi ifanyike wakati vitendea kazi hakuna. fina na masoud wakagoma. gerald ndio alifanya kazi. wakapewa barua za kujieleza, ambazo nadhani hazikutosheleza management ya ma checkbob wa clouds, ikabidi waachishwe kazi. sababu hii nadhani haitoshelezi vile inaonekana kama walikua wanatafutwa siku nyingi, kisababu cha kijinga kilipopatikana ikabidi wafunge virago. masoud anatangaza radio times nadhani au magic, sina hakika. fina ndio sina habari zake. tatizo clouds wanafanya kazi kutafuta jina lakini si kwamba eti wanalipwa sana. kikubwa wanawatajirisha wale vigogo wawili, wachafuzi wa jiji.