Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Aisee binafsi kwa muda mrefu nimekuwa nikizipenda cartoon za masoud wa Kipanya na pia nilimpenda sana wakati akiwa clouds fm kama mpiganaji. Wanajamvi mnamuonaje kupitia cartoon huyu jamaa si mpiganaji? hakuwahi kuchakachuliwa toka akiwa power breakfast na kikatuni chake hakijawahi kuchakachuliwa au kama mna data tofauti nijuzeni.