Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Huna haja ya kukata tamaa,wa kwako yupo anakusubiri na huwezi kukutana naye mpaka wakati mungu aliokupangien ufike,usiangalie binadamu wanasema nn juu yako mwombe mungu akukutanishe na atakayekupa furaha ya ndoa na sio karaha,umri sio ishu kbs, na hao wanaume wakikujua tu uko desperati kuolewa wata take advantage na watakuchezea na kukuacha unalia,zidisha maombi ikiwezekana na kufunga na siku zote mjaribu mungu kwa kumtolea uone namna atakavyokujibu!toa hofu subiri wakati wa mungu.