klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
nasikia harufu ya rushwa ya ajira through kunongoneka!
Mkuu ulipotea sana na kongosho alivumisha umewekwa kinyumba na mama la kireno msumbiji. Sibitisha au kanusha (2 marks)
nasikia harufu ya rushwa ya ajira through kunongoneka!
Konnieeeeeeeeeeeeeeeee,your gender notwithstanding,i love you,mmmmmwwwwwaaaaaaaaaa!!!!!!!waache wangonoke, hata hivyo haihusishi mioyo.
Inahusisha organs tu.
niko hapa serena napata cocktail kabla ya kwenda sea cliff karambezi nina miadi na deputy gavana wa benki kuu.Nataka nilale mapema maana alfajiri nachukua swiissair nina kikao na sapplya wangu zurich mchana.Karibu serena Husn.
Babu ODM nimemwacha Tip Top anapepewa, kapoteza faham, kapiga viloba ovadozinipishe, bora nimwite Babu ODM anitulize.
achana na Konnie bana,nilikuwa nahangaika na mke wangu Eliza wa Tegeta,ujauzito ulimsumbua sana hapa kati kati.Mkuu ulipotea sana na kongosho alivumisha umewekwa kinyumba na mama la kireno msumbiji. Sibitisha au kanusha (2 marks)
Nyinyi mnafaa kabisa kuwa maloya, leteni CV zenu sruu PM niwapatie kazi fasta
mwache basi J halafu tuongee vizuri.hehehe! Halafu kale kavitz uliko niahidi mbona hakafiki. Na kiwanja nishapata nataka unishushie kagorofa. We kula gud tym, ahadi ni deni.
Halaf ghana si ndio wanalima cocoa? dah nazani huu ni wakati mwafaka kwa serikali kumtumia bishanga kuingiza cocoa nchinitena huyu kaachika sasa hivi kaolewa na mghana.
mwache basi J halafu tuongee vizuri.
Shhhhhhhh ukishasoma hii post ui delete jamaa asije akaiona.
bishanga ni He au She?tena huyu kaachika sasa hivi kaolewa na mghana.
Yule alotangaziwa kifo na fidel80 alikuwa eliza wa wapi?achana na Konnie bana,nilikuwa nahangaika na mke wangu Eliza wa Tegeta,ujauzito ulimsumbua sana hapa kati kati.
Nyinyi mnafaa kabisa kuwa maloya, leteni CV zenu sruu PM niwapatie kazi fasta
Sasa hii CV au kitab cha log? nafasi ziko 2 tu ww fanya mchezo wako.cv yangu haina jina wala contacts. Inafaa?
At least wewe uko serious. Hautojutia kufanya kazi kwenye ofisi zetu. Hapa ukismile na boss tu tunakuongeza mshaharaNgoja niupdate nakutumia; hata para tu mimi niko tayari!
hivi wewe na madigrii yako yote LLB(udsm),LLM(harvard),Doctor of Philosophy (london school of economics),her majesty counsel QC,kweli kabisa Konnie anakuingiza choo cha kike nawe unakubali mzee mzima wa Lincoln?Halaf ghana si ndio wanalima cocoa? dah nazani huu ni wakati mwafaka kwa serikali kumtumia bishanga kuingiza cocoa nchini